Niko dillema, mchumba wangu ni mchawi!!!

Hii nilichelewa kuiona yote uliyozungumza ni kuhusu mama sijaona kosa la kisura wetu Wayre,nakuaminia mkuu hapa vijana wa street wanataka kukupiga bao la kisigino akili kumkichwa mkitembea mkishikana mikono na Wayre.
 
mmh! Tunaanza kupewa vyandarua halafu vyupi. Kompyuta hadi mwaka 3011.
vyandarua vyenyewe vimegundulika kupunguza fertility tumia visivyo na dawa na vyupi si vimepitwa na wakati hahaha!
 
Usimwite mtu usiku huu tutahangaika wenyewe usijali,kwenye taarab wanasema 'ye aweze ana nini,we ushindwe una nini' lol!
akaa babu wewe, taarab ya mabonge mi sio bonge. Hahahaha! Nipo kwenye course ya mipasho, vipi naweza weza eeh?
 
akaa babu wewe, taarab ya mabonge mi sio bonge. Hahahaha! Nipo kwenye course ya mipasho, vipi naweza weza eeh?
ukija dar ntakupeleka ukamwone Mzee yusuf siku hizi anatumbuiza maisha Club jumatano sio uswaz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…