Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaongea meng sns humu jf ya kuikashif serikal so usije kua una target humu[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwaiyo hao usalama ndio hawaonani na watu?
Niko maeneo ya Area C ntakuja pande hizo mida ya SAA 2 hivi ila vipi mkuu huhitaji vumbi la Kongo nikuletee?Wana jf niko dodoma hapa kuhudhuria vikao vya bunge kama Kuna mwana jf yyte wa jukwaa hili basi tuonane tujuane kidogo kwa Sasa Niko hapa Pestana pub mpaka usiku mkubwa so ukija hapa ni inbox
Tunaongea meng sns humu jf ya kuikashif serikal so usije kua una target humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko maeneo ya Area C ntakuja pande hizo mida ya SAA 2 hivi ila vipi mkuu huhitaji vumbi la Kongo nikuletee?
Sent using Jamii Forums mobile app
we ndo huyo aliye vaa jezi ya Arsenal,?Hapa caunta huku Nyuma karibu na jikoni
Vp niibuke hapo hata unitelezeshe na chochote maana me sina gharama beer sinywiWana jf niko dodoma hapa kuhudhuria vikao vya bunge kama Kuna mwana jf yyte wa jukwaa hili basi tuonane tujuane kidogo kwa Sasa Niko hapa Pestana pub mpaka usiku mkubwa so ukija hapo ni inbox
Vp niibuke hapo hata unitelezeshe na chochote maana me sina gharama beer sinywi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kung'oa kucha?Wana jf niko dodoma hapa kuhudhuria vikao vya bunge kama Kuna mwana jf yyte wa jukwaa hili basi tuonane tujuane kidogo kwa Sasa Niko hapa Pestana pub mpaka usiku mkubwa so ukija hapa ni inbox