Niko dodoma

Niko dodoma

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Wana jf niko dodoma hapa kuhudhuria vikao vya bunge kama Kuna mwana jf yyte wa jukwaa hili basi tuonane tujuane kidogo kwa Sasa Niko hapa Pestana pub mpaka usiku mkubwa so ukija hapa ni inbox
 
Wana jf niko dodoma hapa kuhudhuria vikao vya bunge kama Kuna mwana jf yyte wa jukwaa hili basi tuonane tujuane kidogo kwa Sasa Niko hapa Pestana pub mpaka usiku mkubwa so ukija hapa ni inbox
Niko maeneo ya Area C ntakuja pande hizo mida ya SAA 2 hivi ila vipi mkuu huhitaji vumbi la Kongo nikuletee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jf niko dodoma hapa kuhudhuria vikao vya bunge kama Kuna mwana jf yyte wa jukwaa hili basi tuonane tujuane kidogo kwa Sasa Niko hapa Pestana pub mpaka usiku mkubwa so ukija hapo ni inbox
Vp niibuke hapo hata unitelezeshe na chochote maana me sina gharama beer sinywi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom