Aramun
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 461
- 2,213
Imagine unakaa dakika 20 huoni gari ya kuelekea unakoenda, na unatumia usafiri tuliotangaziwa kwa mbwembwe na bashasha kwamba ndiyo mkombozi wa shida ya usafiri.
Kwa hali hii, serikali iruhusu daladala kama kawaida kwa zile route ilizoondoaga daladala kama Kimara hadi Gerezani na Kivukoni.
Huwezi kukaa kituo chochote cha daladala zaidi ya dakika 3 bila daladala kupita, ila ni rahisi kukaa hata nusu saa kituo cha mwendokasi bila gari hata moja kupita.
Kwa hali hii, serikali iruhusu daladala kama kawaida kwa zile route ilizoondoaga daladala kama Kimara hadi Gerezani na Kivukoni.
Huwezi kukaa kituo chochote cha daladala zaidi ya dakika 3 bila daladala kupita, ila ni rahisi kukaa hata nusu saa kituo cha mwendokasi bila gari hata moja kupita.