ukashindwa kujiongezaKuna siku nilikuwa pale manyanya mwendokasi nilikuwa nawahi kivukoni nilisubiria sana gari bila mafanikio kuna jamaa nilikuwa nae yeye alipanda daladala zetu hizi akanipigia yeye ameshafika anasubiria panton avuke kwenda kigamboni mie bado nipo stand manyanya hapo ndio ilikuwa mara ya mwisho kupanda mwendokasi nadhani inafika miaka 3 sasa kama nina haraka huwa naona Bora nitafute njia nyingine ila sio mwendo kasi
Ubaya ni kwamba Morogoro Road waliondoa daladala, kwa hiyo hakuna option nyingine zaidi ya bajaji au pikipiki ambazo ni ghali..Kuna siku nilikuwa pale manyanya mwendokasi nilikuwa nawahi kivukoni nilisubiria sana gari bila mafanikio kuna jamaa nilikuwa nae yeye alipanda daladala zetu hizi akanipigia yeye ameshafika anasubiria panton avuke kwenda kigamboni mie bado nipo stand manyanya hapo ndio ilikuwa mara ya mwisho kupanda mwendokasi nadhani inafika miaka 3 sasa kama nina haraka huwa naona Bora nitafute njia nyingine ila sio mwendo kasi
Serikali ya wapumbavu na raia wapumbavuImagine unakaa dakika 20 huoni gari ya kuelekea unakoenda, na unatumia usafiri tuliotangaziwa kwa mbwembwe na bashasha kwamba ndiyo mkombozi wa shida ya usafiri.
Kwa hali hii, serikali iruhusu daladala kama kawaida kwa zile route ilizoondoaga daladala kama Kimara hadi Gerezani na Kivukoni.
Huwezi kukaa kituo chochote cha daladala zaidi ya dakika 3 bila daladala kupita, ila ni rahisi kukaa hata nusu saa kituo cha mwendokasi bila gari hata moja kupita.
View attachment 2953049
View attachment 2953053