Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
naujua na ile ilitokana na kutokuwa na dawa na pia uoga wa kumeza tembe .........Hujakutana na Ukimwi ule wa Kagera watu walikonda mpk akilala kitandani haonekani unaona kichwa tu nacho kimebaki kama fuvu
Asee nimerudi. Mambo muruwa. Sina ngoma wadau. Ila dah pressure ilipanda mpaka 145 kwa 90
Watajua wenyewe. Mi niko mzima.Hongera sana kiongozi,ila visije vikawa ndio vile vipimo vya mama blandina nyoni,vinavyokoseaga majibu
Nimeshatoka. MzimaaaaaFeedback tafadhali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa bilionea gani unakuwa muoga namna hiyo?Nakumbuka nimeshapima kama mara nne hivi, lakini mara zote hizo nne nimekimbia hospitali kabla ya majibu kutoka.
Kupima sio ishu, ishu kupokea majibu aiseee
Haki ya Mungu nimechekaNakumbuka nimeshapima kama mara nne hivi, lakini mara zote hizo nne nimekimbia hospitali kabla ya majibu kutoka.
Kupima sio ishu, ishu kupokea majibu aiseee
mtihan mkubwa saaaa kwenye maiaha yangu huuu,Sikimbii na wala siogopi. Kuna mahali inabidi niyapeleke. Ukisikia kibaka kaomba lift kwenye difenda ndio leo.
Na kugonga kitimoto kwa wingi ukishushia na Safari lageraisee ukimwi hautishi we nenda pale ocean road ukalie watu wanaoza huku wako hai ukimwi ni kula mazoez kumeza tembe zako basi fresh
kumbe ndo maana k/moto kimekuwa dili eeh sawaNa kugonga kitimoto kwa wingi ukishushia na Safari lager
Kwa nini ulichukua uamuzi wa kupima?Nimeshatoka. Mzimaaaaa
OhoooooNasubiri majibu
Asigwa umeseti alam kuamka hutaki[emoji38][emoji38]Nakumbuka nimeshapima kama mara nne hivi, lakini mara zote hizo nne nimekimbia hospitali kabla ya majibu kutoka.
Kupima sio ishu, ishu kupokea majibu aiseee
Ha ha ha ha haAsigwa umeseti alam kuamka hutaki[emoji38][emoji38]
Hadi pressure nilipimwaUmefanya makosa ulivyo kata shauri kuwa unapima HIV Ugepima kwanza pressure halafu ndio ukimwi ufate