Niko kigoma

Niko kigoma

usikose kufika UJIJI,utupigie picha sehemu ambayo,STANLEY alimuibua Dr David Livingstone
 
Wakuu
Sijaonekana jf kwa siku kama 7 hivi.
Niko Kigoma.

MF,
Pole sana na Kigoma. nimeingia Google Earth na kuufaidi kwa mbali mji huo. Ukiangalia kwa haraka haraka utaona kuwa ni heri ya Kigoma kuliko Tabora. Kigoma niliishia Airport na hivyo sina uhakika sana. Ila sijui kati ya Kigoma na Tabora ni nani ananafuu. Tabora tuna Kapuya, Seleli na Spika Sita. Pia tuna Fisadi RA na Rage. Pamoja na kuwa na watu hawa, Tabora imechoka kama nguo za Mkimbizi. All in all, Kigoma na Tabora ni DUGU MOJA.
Usisahau kupata Maziwa ya mgando ukiwa huko. Wee ukifika ulizia yale maziwa yaliyogandishwa kwenye KISAWO.
Fugwe na First Lady, siku moja kaka zangu walichonganisha ng'ombe wetu na wa Muha. Yule wetu alikuwa mdogo ki-umbile. Ila ubabe wake ulikuwa kupiga vichwa kama watu. Basi alimtandika kichwa yule ng'ombe mkubwa na akaanguka na kuanza kutoa mapovu. Mwenye ng'ombe wake akienda kwa jina la Yakuleka akaanza kulia " uwuu wuuu wuuuu, Inka yane irafwiye..." Ilikuwa sooo.
 
ili kulea ufanisi tungeanzisha serikali za mikoa zinazojitegemea kwa kila kitu, kama vile ilivyo marekani, ili kurahisisha na kuwezesha wananchi kujiletea maendeleo yao wenyewe....!

Kwa mfano, kila mkoa ungekua na gavana wake ambaye ndio atashughulikia maendeleo ya mkoa huo na na ndie kuhakikisha mkoa unatoa pato lake kwa ajili ya kuchangaia baheti kubwa ya nchi, kitendo cha sasa cha kufanya mkoa mmoja kuwa ndio tegemeo la chanzo cha mapato ya serikali (dar es SAlaam) kunafanya mikoa mingine kushindwa kuwa wabunifu na kujitegemea na kuendelea kusubiri hela kuoka dar es salaam.

Kuna mikoa ina bandari, mito, maziwa, mbuga, maliasili lakini imekua nyuma kutokana na utegemezi au kushindwa kuendelea kutokana na kuwa na centralised polies which can not carter for all regions, dawa ni kufanya decentralization na kutoa full aoutonomous kwa serikali za mikoa ili kuzifanya zichakarike zaidi katika kutangaza vivutio vyake na kuwahamasisha wananchi wake kujiendeleza...!
 
Na ijulikane wazi kuwa baada ya kuonekana upinzani ni mkubwa Kigoma then serikali ya ssm inakomoa mikoa kama hiyo pia. Japo katika campaign JK aliahidi kushughulikia mikoa ya pembezoni ambayo iko nyuma kimaendeleo, basi nakuuhakikishia atashughulikia yote lakini si Kigoma kwa Chadema na CUF.

...ipo siku!!!,

...jumuia kama KIDECO, KDPA, na KWDG ni mfano wa NGO's zitazosaidia maendeleo zikishirikiana na Mbunge machachari ZITTO KABWE na wengineo...

Watabana lakini ipo siku wataachia, sio kila msaada lazima upitie serikalini 🙁
 
ili kulea ufanisi tungeanzisha serikali za mikoa zinazojitegemea kwa kila kitu, kama vile ilivyo marekani, ili kurahisisha na kuwezesha wananchi kujiletea maendeleo yao wenyewe....!

Kwa mfano, kila mkoa ungekua na gavana wake ambaye ndio atashughulikia maendeleo ya mkoa huo na na ndie kuhakikisha mkoa unatoa pato lake kwa ajili ya kuchangaia baheti kubwa ya nchi, kitendo cha sasa cha kufanya mkoa mmoja kuwa ndio tegemeo la chanzo cha mapato ya serikali (dar es SAlaam) kunafanya mikoa mingine kushindwa kuwa wabunifu na kujitegemea na kuendelea kusubiri hela kuoka dar es salaam.

Kuna mikoa ina bandari, mito, maziwa, mbuga, maliasili lakini imekua nyuma kutokana na utegemezi au kushindwa kuendelea kutokana na kuwa na centralised polies which can not carter for all regions, dawa ni kufanya decentralization na kutoa full aoutonomous kwa serikali za mikoa ili kuzifanya zichakarike zaidi katika kutangaza vivutio vyake na kuwahamasisha wananchi wake kujiendeleza...!

un maana sera ya majimbo ya Mbowe?
 
MF,
Pole sana na Kigoma. nimeingia Google Earth na kuufaidi kwa mbali mji huo. Ukiangalia kwa haraka haraka utaona kuwa ni heri ya Kigoma kuliko Tabora. Kigoma niliishia Airport na hivyo sina uhakika sana. Ila sijui kati ya Kigoma na Tabora ni nani ananafuu. Tabora tuna Kapuya, Seleli na Spika Sita. Pia tuna Fisadi RA na Rage. Pamoja na kuwa na watu hawa, Tabora imechoka kama nguo za Mkimbizi. All in all, Kigoma na Tabora ni DUGU MOJA.
Usisahau kupata Maziwa ya mgando ukiwa huko. Wee ukifika ulizia yale maziwa yaliyogandishwa kwenye KISAWO.
Fugwe na First Lady, siku moja kaka zangu walichonganisha ng'ombe wetu na wa Muha. Yule wetu alikuwa mdogo ki-umbile. Ila ubabe wake ulikuwa kupiga vichwa kama watu. Basi alimtandika kichwa yule ng'ombe mkubwa na akaanguka na kuanza kutoa mapovu. Mwenye ng'ombe wake akienda kwa jina la Yakuleka akaanza kulia " uwuu wuuu wuuuu, Inka yane irafwiye..." Ilikuwa sooo.

Sikonge,
Sasa huo ni uchokozi, hahahhaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Let me tell you one thing
It is in this life we are living there are two things involved,
Either you are a woman or you are a man,
If you are a woman, YOU ARE SAFE,
If you are a man, there are two things involved,
Either you are a civilian or in military,
If you are a civilian, You are safe,
If you are in military, there are two things involved,
It is either you are in the office or military front,
If you are in the office you are safe,
If you are in the military front, there are two things involved,
It is either you kill some body or some body kills you,
If you kill some body you are safe,
Some body kills you there are two things involved
It either you are being buried or your body is used for manure,
If you are buried, you are safe,
Your body is used for manure, there are two things involved,
Either you are used to grow plant, flowers and trees
If you are used for flowers you are safe
If you are used for trees, there are two things involved,
It is either you are used to make furniture or tissue papers,
If you are used to make furniture, you are safe.
If you are used to make tissue papers, there are two things involved,
It is either you are being used by a man or a woman,
If you are being used by a man you are safe,
If you are being used by a woman, there are two things involved,
Either you are used from behind or front,
If you used from behind you are safe,
If you are used in front, there are two things involved,
It is either you contact gonorrhea or AIDS,
If you contact gonorrhea you are safe,
If you contact AIDS,

Guess
Guess


THERE IS ONLY ONE THING, YOU WILL DIE

AIDS IS FOR REAL PLAY SAFE
 
wewe nilijua tu maana nimetania kuisema KG vibaya nusu unirukie nahisi tungekuwa hatutenganishwi na skrini sijui ingekuwaje!mimi Kigoma naipenda sana
maana ni mkoa wa wanangu pia ubavu niliowekewa ndo ulitoka huko!I thank MY GOD MY LORD FOR THIS!
Ila usijali ipo siku KIGOMA itakuwa juu kimaendeleo

First lady,
hapana mimi sitoki Kigoma, lakini penye ukweli mara nyingi natetea sana. Naona vibaya baadhi ya mikoa inapewa upendeleo wa hali ya juu wakati mingine imeachwa tu bila kusaidiwa. Siku za nyumba wakati Waziri Mkuu fulani alikuwa madarakani, fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo mkoani kigoma ziliporwa na kupelekwa mkoa wa kilimanjaro katika wilaya ya Same kwa ajili ya kupeleka umeme vijijini. Alaniwe huyo Waziri Mkuu aliyefanya hayo. Sina ugomvi na wana JF wenzangu, first lady tupo wote, tuendeleze vita dhidi ya dhuruma na ufisadi.
 
Siku za nyumba wakati Waziri Mkuu fulani alikuwa madarakani, fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo mkoani kigoma ziliporwa na kupelekwa mkoa wa kilimanjaro katika wilaya ya Same kwa ajili ya kupeleka umeme vijijini. Alaniwe huyo Waziri Mkuu aliyefanya hayo. Sina ugomvi na wana JF wenzangu, first lady tupo wote, tuendeleze vita dhidi ya dhuruma na ufisadi.

...khaaaaa?, kumbe ndivyo alivyofanya? halafu akautaka na uraisi wa nchi, si ndio angetumaliza kabisa? ...anyway, "mcheza kwao hutunzwa, na mwamba ngoma huvutia kwake!..."



View attachment 2482
 
wewe nilijua tu maana nimetania kuisema KG vibaya nusu unirukie nahisi tungekuwa hatutenganishwi na skrini sijui ingekuwaje!mimi Kigoma naipenda sana
maana ni mkoa wa wanangu pia ubavu niliowekewa ndo ulitoka huko!I thank MY GOD MY LORD FOR THIS!
Ila usijali ipo siku KIGOMA itakuwa juu kimaendeleo

Ha ha ha alijaribu kuingia kwenye screen ili akukwide blouse yako. MU usikose kufika ujiji halafu utuwekee habari jinsi ulivyoona mji huo hasa katika upande wa maendeleo.
 
...khaaaaa?, kumbe ndivyo alivyofanya? halafu akautaka na uraisi wa nchi, si ndio angetumaliza kabisa? ...anyway, "mcheza kwao hutunzwa, na mwamba ngoma huvutia kwake!..."



View attachment 2482

Mchongoma,
Nakuaminia, nimeipenda hiyo mandhari ya mji wa Kigoma. first lady sema mwenyewe sasa. Hahahaaaaaa!
 
Mimi ninavyodhani tusilaumu serikali.Hapa ni uzembe wa viongozi waliochaguliwa wa kigoma wabunge na madiwani.Kama fedha za halamashauri zinaliwa na mkurugenzi madiwani wamekaa kumya au wanashiriki.unataraji nani atoke moshi kusukuma maendeleo kigoma. kama waziri ayu mbunge kutoka kigoma hatajishughulisha kupigia kelele eneo lake unategemea mbunge wa maswa afanye hivyo.Kigoma ina utajiri lakini viongozi wa huko wakichaguliwa wanajiona mabwana badala ya kuona ni dhamana waliopewa na wananchi.Katika miaka ya serikali ilitoa agizo kuwa kila mkoa una uhuru wa kutafuta wawekezaji kutoka nje na serikali itasaidia.wanaweza hata kufanya safari kwenda nje kutafuta wawekezaji.tatizo letu sisi wabongo tunapenda kuchagua viongozi wapiga maneno badala ya kuchuja utendaji wa mtu kabla ya kumchagua
 
Mimi ninavyodhani tusilaumu serikali.Hapa ni uzembe wa viongozi waliochaguliwa wa kigoma wabunge na madiwani.Kama fedha za halamashauri zinaliwa na mkurugenzi madiwani wamekaa kumya au wanashiriki.unataraji nani atoke moshi kusukuma maendeleo kigoma. kama waziri ayu mbunge kutoka kigoma hatajishughulisha kupigia kelele eneo lake unategemea mbunge wa maswa afanye hivyo.Kigoma ina utajiri lakini viongozi wa huko wakichaguliwa wanajiona mabwana badala ya kuona ni dhamana waliopewa na wananchi.Katika miaka ya serikali ilitoa agizo kuwa kila mkoa una uhuru wa kutafuta wawekezaji kutoka nje na serikali itasaidia.wanaweza hata kufanya safari kwenda nje kutafuta wawekezaji.tatizo letu sisi wabongo tunapenda kuchagua viongozi wapiga maneno badala ya kuchuja utendaji wa mtu kabla ya kumchagua

...naam, kungekuwa na utaratibu wetu sie wananchi kuangalia maendeleo ya jimbo kila baada ya mbunge kumaliza yake miaka mitano, wengi tungeshawaangusha!

...tatizo letu "(wananchi)" tunaendekeza kupokea takrima tuuu...Inasikitisha sana.
 
ili kulea ufanisi tungeanzisha serikali za mikoa zinazojitegemea kwa kila kitu, kama vile ilivyo marekani, ili kurahisisha na kuwezesha wananchi kujiletea maendeleo yao wenyewe....!

Kwa mfano, kila mkoa ungekua na gavana wake ambaye ndio atashughulikia maendeleo ya mkoa huo na na ndie kuhakikisha mkoa unatoa pato lake kwa ajili ya kuchangaia baheti kubwa ya nchi, kitendo cha sasa cha kufanya mkoa mmoja kuwa ndio tegemeo la chanzo cha mapato ya serikali (dar es SAlaam) kunafanya mikoa mingine kushindwa kuwa wabunifu na kujitegemea na kuendelea kusubiri hela kuoka dar es salaam.

Kuna mikoa ina bandari, mito, maziwa, mbuga, maliasili lakini imekua nyuma kutokana na utegemezi au kushindwa kuendelea kutokana na kuwa na centralised polies which can not carter for all regions, dawa ni kufanya decentralization na kutoa full aoutonomous kwa serikali za mikoa ili kuzifanya zichakarike zaidi katika kutangaza vivutio vyake na kuwahamasisha wananchi wake kujiendeleza...!

Ni wazo zuri sana mkuu na ndivyo ilivyokuwa kabla na miaka michache baada ya uhuru.

Nakumbuka kipindi kile cha watawala wa kigeni (mkoloni), Tanganyika ilikuwa na utawala wa majimbo. Na ndipo tulipo shuhudia Mashirika ya umma (Strong cooperative movements) ya kikweli yakijitahidi na kuleta maendeleo kwa wanachama wake na kwa mkoa husika.

Cooperative movement zilianza miaka ya 1925, wakati huo kule Kilimanjaro kulikuwa na Kilimanjaro Native Planters’ Association (KNPA) amabyo ilisajiriwa mwaka 1933, na ilimilikiwa na wananchi wa mkoa husika. Baadae ikaja (KNCU). Kule kusini kwa ndugu zangu wa kusini, kulikuwa chama kilicho julikana kwa jina la Ngoni-Matengo Cooperative, kilicho pata usajiri Songea mwaka 1936.

Nakumbuka mpaka utaalam wa mbegu bora ulikuwa umepiga hatua kubwa sana kipindi hicho ambacho inasemekana uchumi wa Tanganyika na ule wa Korea (sikumbuki kama ni kusini au kaskazini), ulikuwa sawa. Ajabu leo wametuacha miaka zaidi ya 100 na zaidi.
Nikifumba macho nakumbuka mbegu zilizopewa majina ya Serena, Lulu na Sandala, hizi ni mbegu za Mtama. Na kwenye mahindi tulikuwa na Katumbili na Mwezi Mmoja... nk.

Ila mambo yalikuja kubadilika pale Nyerere alipoona kuwa baadhi ya majimbo yanapata maendeleo makubwa kiuchumi kuliko mengine. Na akahofia sana majimbo ya kule kusini (Ruvuma) kuwa huwenda wakajitenga na kujiunga na Malawi. Jambo ili ndo lililo pelekea kuundwa na kwa mashirika mengine yaliyopelekea yale yaliokuwa na nguvu wakati huo, kufa na kusababisha maendeleo ya mikoa kurudi nyuma.

Msumari wa mwisho ni pale walipo amua kutaifisha mashamba na viwanda kwenye lile azimio la unyang'anyi lililo pewa jina la Azimio La Arusha.

Wakubwa waliofirisiwa mali zao nao wakatuwekea mtima nyongo kwenye soko la kimataifa. Pamba, Mkonge Chai na mazao yote ya biashara yakapigwa chini kiahina. Japokuwa Nyerere kwa kiburi kikubwa aliwaambia hao tulio waita mabepari na makabaila shamba..., kuwa waje tena Tanganyika baada ya mika kumi (10??). Waje ona maendeleo tutakayokuwa tumepiga...(!?)

Leo hii Chama tawala na serikali yake wanaona haya na aibu kubwa kwa yale waliyo yafanya.
Azimio La Arusha likafa rasmi kule Zanzibar kama sikosei mwaka 1992. Misingi yote ya Azimio la Arusha iliuwawa hapo. Hapo ndipo tulipoanza kushuhudia Tanzania ikiimba kijamaa na kucheza kibepari. Kwani Ule usemi wa enzi zile za utawala wa Kambarage wa kusema kuwa Kiongozi hapaswi kuwa mfanyabiashara... (Sikumbuki vema) ikafa hapo, na viongozi wakaruhusiwa rasmi kuwa wamiliki wa mali za umma na kuwa mafisi mafisadi.

Serikali ikaamuwa kukumbatia sera za nchi za kigeni na kuamua kuwarejeshea hao tuliokuwa tunawaita wakoloni na makaburu viwanda na mashirika ya umma.

Je unafikiria watakubali kurejea tena kule kwenye neema ambayo mwananchi wa kawaida alikuwa na uwezo wa kujitegemea kiuchumi.

Sizani kama viongozi wapo tayari kuona wananchi wanapata nguvu za kiuchumi, kwani kwa raiya wengi kuwa na nguvu za kiuchumi ni kuhatarisha ufisadi wao.
Habari ndo hiyo....! Naomba kuwakilisha hoja...!
 
Last edited:
Wakuu.
Nimerudi toka Kigoma.
Fungwe asante kwa picha nzuri ya Kigoma.
Hapa nawawekea nyingine.
Hapa ndipo wao wanapaita Kigoma mjini.

Kigoma mjini.jpg
Kigoma mjini-3.jpg
Kigoma mjini-4.jpg
Kigoma mjini-2.jpg
 
Naima nimekuletea dagaa. Ila wanabei kubwa kidogo sasa hivi wanadai hawapatikani kwa wingi maana ni kipindi cha mwezi.
karibu uchukue au niwaweke kwenye PM? 😀
 
First Lady kwa siku zote nilizokaa Kigoma nimekula migebuka mara moja na ni mitamu kwa kweli hasa kama ndio wameikaanga kwa mawese, we acha tu!.
Hata hivyo upatikanaji wake ni taabu sasa hivi kama ilivyo kwa dagaa na wanadai ni kwa sababu ya mwezi nao wanahitaji giza kuweza kuvunwa kwa wingi.
Sasa hivi wanauzwa watatu kwa 1,000/=.😱
 
Fungwe,kigoma ndio mkoa pekee wenye FUNZA machachari kuliko wengine duniani kote.Sasa kwa nini husahaulike????hahahahahaha (Watalii si wangekuja kushuhudia)
E bwanaaa!!ye muga!!!Kigoma ni mujini,ila darisalama ni kiboko yake.
Aisee.Ukitaka kumjua mwenyeji wa kigoma halisi mpambanishe kesi na mhaya.mhhhhh!!wewewewewewe kesi haiishi.hahahahahahaha
 
Whaaaaaat!!!!!Kigoma kumeendelea.Wana hadi magari???Mimi nilizoea kuona ngologojo tuu.Ikiachiwa pale kwenye mteremko wa Azim magorofani breki yake ni ukuta wa stesheni.Au ikiachiwa pale kwa bidyanguze breki yake ni Mwanga kanisa la wasabato.hahahaha
 
Naima nimekuletea dagaa. Ila wanabei kubwa kidogo sasa hivi wanadai hawapatikani kwa wingi maana ni kipindi cha mwezi.
karibu uchukue au niwaweke kwenye PM? 😀

waaaoooo pole na safari .. nashukuru Mungu umefika salama .. dagaa nakuja mwenyewe kuchukuwa kwani kwenye PM Mods wanaweza wakaniibia hivi hivi ... siwamini ... Ahsante sana
 
Back
Top Bottom