Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 50
waaaoooo pole na safari .. nashukuru Mungu umefika salama .. dagaa nakuja mwenyewe kuchukuwa kwani kwenye PM Mods wanaweza wakaniibia hivi hivi ... siwamini ... Ahsante sana
Majita weeeeeeeee siku hizi funza wako kila mahali hata huko majita wako bwana.Fungwe,kigoma ndio mkoa pekee wenye FUNZA machachari kuliko wengine duniani kote.Sasa kwa nini husahaulike????hahahahahaha (Watalii si wangekuja kushuhudia)
E bwanaaa!!ye muga!!!Kigoma ni mujini,ila darisalama ni kiboko yake.
Aisee.Ukitaka kumjua mwenyeji wa kigoma halisi mpambanishe kesi na mhaya.mhhhhh!!wewewewewewe kesi haiishi.hahahahahahaha
Mchongoma na Fungwe. Kigoma inapendeza saaaaaana kwa picha yako lakini naomba niwaonyeshe na baadhi ya mitaa ya mji wa Kigoma. Picha hii ni ya mtaa mmoja wapo huko katika eneo linaloitwa Mwanga....khaaaaa?, kumbe ndivyo alivyofanya? halafu akautaka na uraisi wa nchi, si ndio angetumaliza kabisa? ...anyway, "mcheza kwao hutunzwa, na mwamba ngoma huvutia kwake!..."
View attachment 2482