Niko mawindoni UDSM

Niko mawindoni UDSM

Boss hapo utawala utauza sura tu.
Shuka pale contena kata kona kushoto ingia Chief Kunambi road kapaki gari pale katikati ya Hall Five na Hall two (kaa juu ya gari ukielekeza uso wako pale kariakoo)
Utajizolea demu unayemtaka...
Japo enzi nasoma mie ckuwafaidi kabisa sababu nilikua addicted na nyeto...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Mkuuu ungejua kwanza yupo na gari gani kama amekuja na skania akikaa juu si itakua balaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Boss hapo utawala utauza sura tu.
Shuka pale contena kata kona kushoto ingia Chief Kunambi road kapaki gari pale katikati ya Hall Five na Hall two (kaa juu ya gari ukielekeza uso wako pale kariakoo)
Utajizolea demu unayemtaka...
Japo enzi nasoma mie ckuwafaidi kabisa sababu nilikua addicted na nyeto...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Mkuu ya jandoni umeyaleta uraiani! Sawa kaka.
I miss you YOMBO!
 
Boss hapo utawala utauza sura tu.
Shuka pale contena kata kona kushoto ingia Chief Kunambi road kapaki gari pale katikati ya Hall Five na Hall two (kaa juu ya gari ukielekeza uso wako pale kariakoo)
Utajizolea demu unayemtaka...
Japo enzi nasoma mie ckuwafaidi kabisa sababu nilikua addicted na nyeto...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng

Nyie ndo watu kagame anawatafuta akawafunge mnaopiga p*****o
 
Wadau mi Niko Mtwara nimetoka apo dar Niko kikazi sijui nawapataje ?
Hivi nyie wazinzi si mtulize vikojoleo vyenu[emoji35] [emoji35] [emoji35]
Nimesikia kamkopo hakajazama jaman nikaona niendeshe kandinga kangu mpk hapa nizuge zuge nione ntaondoka na nani leo?

Au kametoka nisijetoka kapa?? Kama kuna boy amepinda njoo pm utakuwa wakala wangu na maisha hapa mjini hayatakupa shida ila tu ujue kuplay nafas ya uwakala vzr

( zingatia ukiwa wakala usitaman mali za bosi utajuta)

Niko hapa utawala
 
Dah aseeer nomaaaaa sanaaaaaaa .ngoja na mm leo nivushe kamoja....ka kupozea 2nd year
 
aya sasa mkuu,vijana wamepatiwa bum.naona now kwisha habari yakooo
 
Unataka kutoa sadaka ulipojiingiza kwenye nguvu za giza ukatoe watu kafala au?
 
Mkuuu ungejua kwanza yupo na gari gani kama amekuja na skania akikaa juu si itakua balaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
nimecheka sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom