Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,632
- 3,150
Wakuu habarini za asubuhi, kwema mko poa. Leo niko mkoani Mbeya kata ya Madibira kuna sehemu panaitwa chalisuka nimekuja kutembea nikaribisheni jamani niko huku jamani leo nimekuja kutembea one time.
Mazingira mazuri watu wako busy na kuuza mpunga wana hustle baadae nataka niende nikatembelee mradi wa mpunga nikatibisheni wenyeji wa huku mimi mgeni wenu leo.
Asanteni sana
#Madibira#Chalisika
Mazingira mazuri watu wako busy na kuuza mpunga wana hustle baadae nataka niende nikatembelee mradi wa mpunga nikatibisheni wenyeji wa huku mimi mgeni wenu leo.
Asanteni sana
#Madibira#Chalisika