Niko mbioni kuoa mke wa pili na wanawake wote wamenikubalia tutumie kitanda kimoja

Niko mbioni kuoa mke wa pili na wanawake wote wamenikubalia tutumie kitanda kimoja

Bwajilo

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2021
Posts
361
Reaction score
926
Ndugu zangu hapa nipo hatua za mwisho kuvuta kitu kipya, kinachonifanya niwe na furaha kupitiliza ni hii issue ya mashemeji/ mawifi zenu kila mmoja ameridhia kwa dhati wote watu tumie master room, kitanda kimoja 6x8 bila kinyongo. Mungu hawabariki wanawake Hawa kwa mioyo na subiria furaha takatifu za ndoa.

Wanawake wote mngekuwa na mioyo kama hii, wanaume tusingekufa haraka. Mlaaniwe wanawake wote mnaodhani uke wenza ni vita huku mkijua wanaume malijali tupo wachache Duniani.
 
Hongera,ila jitahid kutafuta hela zaid uinjoy hao wake zako

Ila uhakkshe una nguvu za kiume za kutosha maana wanawake wasasa k zao hazisikii kabsa hata uzipelekee moto vp

Ngoja nikupe R.I.P mapema
 
Hongera,ila jitahid kutafuta hela zaid uinjoy hao wake zako

Ila uhakkshe una nguvu za kiume za kutosha maana wanawake wasasa k zao hazisikii kabsa hata uzipelekee moto vp

Ngoja nikupe R.I.P mapema
Hela ya kutuhusu sisi na familia sio shida, hizo nguvu za kiume sijawahi kufikiri ni tatizo.
 
hahaha kama ni kweli usemacho hao wanawake wana mioyo ya ajabu mnoo

kuoa mke wa pili sawa ruksa kaoe mume wangu lakini uniletee tulale kitanda kimoja hilo hapana yan hapana kwa herufi kubwa
 
wanaume tunakufa.mapema kwa sababu kama hizi hizi...

kitu kipya kwanza kwa maana ipi?
 
Hongera,ila jitahid kutafuta hela zaid uinjoy hao wake zako

Ila uhakkshe una nguvu za kiume za kutosha maana wanawake wasasa k zao hazisikii kabsa hata uzipelekee moto vp

Ngoja nikupe R.I.P mapema
Mhhh kumbeee
 
Moja ya kitu nachotamani kufanya ni kua na mke zaidi ya mmoja. Sema tu nimezaliwa ile dini ya kifo ndo kitachotutenganisha.
 
Moja ya kitu nachotamani kufanya ni kua na mke zaidi ya mmoja. Sema tu nimezaliwa ile dini ya kifo ndo kitachotutenganisha.
Bro unakosa uhondo Mimi ninao wawili nakula raha acha tu ...nitulie mke mmoja Ni mateso Sana asikwambie mtu ....
 
Bro unakosa uhondo Mimi ninao wawili nakula raha acha tu ...nitulie mke mmoja Ni mateso Sana asikwambie mtu ....
Naufahamu uhondo wa wake wawili sema tu jau kubadili dini (kisa kuoa wake wawili). Pia ni upumbavu kubakia hii dini na kuoa mmoja afu kua na mchepuko. Niko dilemma sana.
 
Ndugu zangu hapa nipo hatua za mwisho kuvuta kitu kipya, kinachonifanya niwe na furaha kupitiliza ni hii issue ya mashemeji/ mawifi zenu kila mmoja ameridhia kwa dhati wote watu tumie master room, kitanda kimoja 6x8 bila kinyongo. Mungu hawabariki wanawake Hawa kwa mioyo na subiria furaha takatifu za ndoa.

Wanawake wote mngekuwa na mioyo kama hii, wanaume tusingekufa haraka. Mlaaniwe wanawake wote mnaodhani uke wenza ni vita huku mkijua wanaume malijali tupo wachache Duniani.
Samahani lkn

We ni dini gani?
 
T*mb*aaaa mdogoangu maisha yenyewe mafupi haya. Raha yenyewe ni hiyo iliyobaki “Asikuambie mtu tu tuuuu k tamu. K tamuuuu k tamuuu
 
Ndugu zangu hapa nipo hatua za mwisho kuvuta kitu kipya, kinachonifanya niwe na furaha kupitiliza ni hii issue ya mashemeji/ mawifi zenu kila mmoja ameridhia kwa dhati wote watu tumie master room, kitanda kimoja 6x8 bila kinyongo. Mungu hawabariki wanawake Hawa kwa mioyo na subiria furaha takatifu za ndoa.

Wanawake wote mngekuwa na mioyo kama hii, wanaume tusingekufa haraka. Mlaaniwe wanawake wote mnaodhani uke wenza ni vita huku mkijua wanaume malijali tupo wachache Duniani.
Huna hata aibu
 
Hela ya kutuhusu sisi na familia sio shida, hizo nguvu za kiume sijawahi kufikiri ni tatizo.
Hapo sawa kidume. Pia busara na kuwatunza kwa akili kwatakiwa ama sivyo utaishia milembe!
Hongera sana kama utafanikiwa uroda huo. Wengine twakukezea mate kwa yajayo yatakavyo kufurahisha.
 
Back
Top Bottom