Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Mi nilikuwa ninao wanne mkuu wawili nimewaacha ila nitaongeza wengine wawili 2 kuwa na mke mmoja ni unafki tu sema wanajikaza tu ila wanajua ukweli hawa wanaume wenzetu wa upande ule wa divai na sakramenti
Ila hili wazo lako zuri ngoja nitawapanga leo niwaweke nyumba moja halafu tuongee kuhusu swala la kitanda
Ila hili wazo lako zuri ngoja nitawapanga leo niwaweke nyumba moja halafu tuongee kuhusu swala la kitanda