Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Dah! Nimekuja mkoa hapa nilifika jana.
Nmefkia lodge kwa babu ntaenda kesho. Nakula maisha kwanza
Maana nmeambiwa kijijni kumefurika huko, mi ntaingia keshoo
Hapa nampanga binamu. Kwanza huyu sio binamu. Hata sjui nna undugu nae vip ila nao wamekuja huku na asipokua makin nnaweza nikamla ujue ukilala mazingira ya lodge unahamasika sana.
Narud kwenye kichwa cha hbar. Aisee hii lodge kuna muv hapa naangalia toka asubhh inaitwa baharia. Hahahahah nacheka hapa mwenyewe tu
Ujue siangaliagi kabisa material kama hiz labda iwe bahat mbaya kama hiv sina option. Aisee kumbe ni nzuri sometime ukiondoa intelligence yako yaan unaangalia vzur tu. Hahahah
Uzi tayar( have a blast yall)
Nmefkia lodge kwa babu ntaenda kesho. Nakula maisha kwanza
Maana nmeambiwa kijijni kumefurika huko, mi ntaingia keshoo
Hapa nampanga binamu. Kwanza huyu sio binamu. Hata sjui nna undugu nae vip ila nao wamekuja huku na asipokua makin nnaweza nikamla ujue ukilala mazingira ya lodge unahamasika sana.
Narud kwenye kichwa cha hbar. Aisee hii lodge kuna muv hapa naangalia toka asubhh inaitwa baharia. Hahahahah nacheka hapa mwenyewe tu
Ujue siangaliagi kabisa material kama hiz labda iwe bahat mbaya kama hiv sina option. Aisee kumbe ni nzuri sometime ukiondoa intelligence yako yaan unaangalia vzur tu. Hahahah
Uzi tayar( have a blast yall)