Niko mkoa. Kumbe Bongo Muvi zingne nzuri eeh!

Niko mkoa. Kumbe Bongo Muvi zingne nzuri eeh!

Ndio mavitu siangaliagi hayo. Mavitu ni uchawi tu mwanzo mwisho. Wanashindwa kuivusha story yao ktk uhalisia wanakimbilia uchawi vitu vya kufikirika ili kuivusha movie. Napenda Nigerian bonge la actors wale jamaaa
 
Aliekwambia daslam ni mkoa nan.
Hata sijui, hivi Aboubakar Kunenge ana cheo gani serikalini?
Alafu improve your writings yani inaonyesha wazi kabisa wewe ni mtu wa kijijini umekuja mjini ukubwani.
Jinga kabisa wewe
 
Hata sijui, hivi Aboubakar Kunenge ana cheo gani serikalini?
Alafu improve your writings yani inaonyesha wazi kabisa wewe ni mtu wa kijijini umekuja mjini ukubwani.
Jinga kabisa wewe
Hahah.unajua watu wanaosoma uzi wanakushangaa,...una hasira na nan sasa.utafkir nimekuchukulia demu wako....au wew ni demu?
 
Back
Top Bottom