Niko na cold war na mpangaji mwezangu. Nifanyeje??

Niko na cold war na mpangaji mwezangu. Nifanyeje??

We mwanaume bwana,Kaza nafsi hiyo!!sisi wanawake huwa tunatabia ya kupima wanaume upepo!je unaingilika?!sasa ukiwa nyoronyoro kama wewe basi tutakutawala sanaaaa!!tutakuzoea sanaaa,tutakuonea sanaa!![emoji23][emoji23]

Dawa yake ni kumpa makavu huyo dada kama KWELI HUJAMLA[emoji15]!tena ongea nae kiume haswa huku ukimpa maneno ya kukata na shoka bila matusi..

Ingiza vitu vyako ndani ili kuonyesha msisitizo,mjini hapa baba hakuna kumuonea mtu aibu,gesi inapanda bei kila siku,halafu umwachie mtu atumie kizembezembe tu?!hata akikuona Mswahili poa tu,akitaka akuone hata Mmakonde!!formula ya kutajirika ni kusave,fungia ndani vitu vyako vyote,usiache hata mwiko...na hakuna kuhama..

Mimi hata fagio wangu hugusi[emoji23][emoji23] sembuse gesi?!una masikhara wewe

Mjini hapa,kila mtu atasimama kwa miguu yake mwenyewe
 
We mwanaume bwana,Kaza nafsi hiyo!!sisi wanawake huwa tunatabia ya kupima wanaume upepo!je unaingilika?!sasa ukiwa nyoronyoro kama wewe basi tutakutawala sanaaaa!!tutakuzoea sanaaa,tutakuonea sanaa!![emoji23][emoji23]

Dawa yake ni kumpa makavu huyo dada kama KWELI HUJAMLA[emoji15]!tena ongea nae kiume haswa huku ukimpa maneno ya kukata na shoka bila matusi..

Ingiza vitu vyako ndani ili kuonyesha msisitizo,mjini hapa baba hakuna kumuonea mtu aibu,gesi inapanda bei kila siku,halafu umwachie mtu atumie kizembezembe tu?!hata akikuona Mswahili poa tu,akitaka akuone hata Mmakonde!!formula ya kutajirika ni kusave,fungia ndani vitu vyako vyote,usiache hata mwiko...na hakuna kuhama..

Mimi hata fagio wangu hugusi[emoji23][emoji23] sembuse gesi?!una masikhara wewe

Mjini hapa,kila mtu atasimama kwa miguu yake mwenyewe
Nimeipemda suggestion ako. Sure kaza moyo mface,tena ongea nae huku unamtazama machoni asije jisemea mtu mwenyewe alikuwa anatazama chini hajamaanisha alichokiongea
 
Kaa mbali nae km anamiliki nukes km za N. K
 
Fanya jambo la kuhama hapo mkuu tu as long as mkataba wako unaisha mwezi ujao.. Tafuta chumba ambacho utakuwa unakicontrol wewe peke yako tu na si kushea kama ulivokuwa na huyo 'Dada Poa'
Huyo mwanamke anakuharibia sana mipango yako ya maisha..

Ila nikupongeze kwa kudhibiti hasira na jazba zako kwa kutokumpiga pamoja na visa vyote visivyovumilika alivyokufanyia.
 
Nimeipemda suggestion ako. Sure kaza moyo mface,tena ongea nae huku unamtazama machoni asije jisemea mtu mwenyewe alikuwa anatazama chini hajamaanisha alichokiongea
Kabisa mummy,usawa wenyewe wa Magufuli huu halafu limtu litoke kolomije huko lije likutie umaskini bila sababu ni jambo lisilovumilika[emoji23][emoji23]
 
Kuwa mkali kwisha kazi.

Mtegeshee kamera huyo, atakuw mpole.
Kwa maelezo yake hawezi fanikiwa kwa ushauri huu.
Huyo bidada tayari ameujua udhaifu wa mshkaji.
Hapo dawa ni kuhama tu
 
Huwa napenda sana kukutana na masaibu kama haya hasa katika nyumba za kupanga ila sipati hiyo nafasi..anyway adui ukishamgundua anakua sio adui tena, kifupi kuwa serious ili mambo yako yaende, sababu kama ukisema uhame utakuwa umevunja mwiko wetu kwani hatutakiwi kuyakimbia mapambano hasa yanayosababishwa na hawa kina Hawa!
Kwakua tayari jamaa Alisha kosea kuanzia mwanzo.... Nibora ahame, na huko aendapo hili liwe fundisho kwake
 
Haahahhahha Mkuu nmekula sana malaya akati niko college had Nikahisi niko POSITIVE. NmeApa kutokuwala tena baada ya kupima mar mbili sehem mbili tofaut hv karibun na kujikuta niko salama.

Ila angekua dem wa kawaida maybe ningemla.
Daaah mkuu wacha niliyoyafanya chuo Mungu ndio anajua...
Kunakipindi nilijua nimeshaukwaa kabisa mm sitaki tena mambo hayo nimeapa sitatongoza tena msichan.
Ila sijui kama nitaweza..
 
Wakuu mambo vipi?. Natumai mu wazima wa afya njema na mnapambana vyema kupiga vita umaskini.

Wakuu, nmepanga chumba kwenye nyumba ambayo wapangaji wawili tunashare corridor, hivyo hapa nilipo mimi nmepanga na bi dada flani hvi.

At first tumekua tukiisha safi sana toka november mwaka jana had last two weeks ambapo tumeznguana ingawa ni indirect yan sio ugomvi wa kuznguana mimi na yeye direct.

Source

Nina madem wawili na wote wananipenda sana. So nmekua nawaleta geto kwa mda tofaut yan week end hii akija huyu next week end anakuja mwengine na i know haiko recommended basi tu ujana. Imekua hvo toka january had jnne ilee ilopita yana jana nmefunga week mbili. Na kisa cha kugombana na huyu bi dada hiyo jnne alinichezeshea mchezo mchafu wa fumanizi kwa kutegeshea nimerud job niko na dogo na yeye kuchukua jukumu la kumwmbia yule mwanamke mwengne, na dhumun lake la kufanya hvo alitaka nimuache huyo nlokua nae siku hiyo kwan kuna siku takriban mwezi mmoja na nusu aliniita na kunambia kuwa mwanamke huyo anadharau kuliko yule mwanamke mwengne. Hivi nilijua kbsa nia yake na katika fumanizi ilo i had to choose one na i chose yule ambaye huyu bi dada hampend.

So, toka siku hiyo imetokea hiyo issue tumekua hatusalimian yani hvo tunapishana t. Mlangon na koridon kupika amna stor wala nn, ila hali imeenda mbaya zaid baada ya leo kuona anaenda mbali zaid kwan nmekuta katoboa rice cooker yangu, kafanya attempt ya kuvunja kisu maana nnekuta kimepinda kbsa, kachoma baadh ya vyombo vinavyo unguzika na kutumia ges yangu kwa matumizi yasio ya lazima maan nmeambiwa na jirani mwanangu kua anamuona anachemsha maji ya kuoga, kupika/kuchemshia maharage hata kuchemsha maji ya kunywa kwene ges yangu licha ya yeye kuwa na gesi yake.

Nmemuita leo nkaongea for a first time baad ya hii cold war na kumuuliza ila amekataa hujuma zote licha ya kuwa yeye tu ndo ana uwezo wa kufanya hvo maana ni yeye peke nashea nae kiget cha kuinga kwene hiyo nyumba na ni mimi na yeye tu ndo tuko na funguo za kigeti iko.

Wasi wasi wangu

Kama kaweza kuchoma vyombo na kutoboa cooker, atashindwa kuniwekea sumu au kunifanyia kitu kibaya Zaid ya hivyo??


Mind you

1. Mimi kila asubuh naenda kazin yeye anabaki nyumbani yan hana official kazi.

2. Baada ya tu kuhamia hapa nilikua na nunua vitu kwa jumla kama mchele, sabun, mafuta n.k ila nkaacha baada ya kugundua kua nashare nae almost kila kitu.

3. Kuhusu ges najua siku nying anatumia kwan kuna vimitego huwa naweka na anasa, ila kila nikiuliza anakataa na ofcoz siwez hamisha ges nkaweka ndan na kuitoa wakat wa kupika naona utakua uswahili.

4. Kod yangu inaisha mwezi ujao, so its either ni renew mkataba au nitafute sehem nyengne.

5. Dem ni mzuri jamani. Ila Sijamla wala sikutaka kumla maana nilikua naish nae kama dada angu licha ya kazi inayosemekana anafanya (Udada powa) maana kila siku around saa sita anachomoka na kurud asubuh saa kumi au kumi na moja.

6. Kuhusu hao madem, nlochagua kubak nae anasoma chuo mwaka wa mwsho chuo flan hv hapa mjin nilichomaliza mimi mwaka jana, huyo mwengne ambaye cjamchagua ambaye anapendwa na huyu bi dada nlopanga nae hala kamaliza chuo flan hv Mwanza mwaka jana ko asa hv yuko mtaani anasubiri michongo na nilisoma nae advance mkoan Mbeya shule flan hv.6

Je, Nifanyeje jamani ili kuweza kuepukana na karaha hizi naziface pamoja na majanga yanayoweza kutokea badae??

Mbona kama vile huyo Mwanamke ana dalili zote za wale ' Watekaji ' wa akina Roma Mkatoliki na wenzake kwani kwa maelezo yako tu yaliyo ' Kuntu ' anaonekana ana roho mbaya tena ' iliyotukuka ' kabisa.
 
Kabisa mummy,usawa wenyewe wa Magufuli huu halafu limtu litoke kolomije huko lije likutie umaskini bila sababu ni jambo lisilovumilika[emoji23][emoji23]
Maana ashamuona Kama boya hivi. So mtie maneno ya kiume tu. Ukishindwa hama,na ukihama umempa ushindi wa cold war bila UN Hapo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kula hiyo nyama Mkuu ila usiuze mechi aise tumia kinga.
 
Back
Top Bottom