Niko nasikiliza TBC Taifa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali: Majibu ya moja ya swali ni hili

Niko nasikiliza TBC Taifa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali: Majibu ya moja ya swali ni hili

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Leo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :-

Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani?

Sheikh kamjibu:-

Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na lugha itakayokua inatumika huko peponi NI kiarabu tuu na hakuna lugha nyingine 😎

Sheikh anaendelea kwa kusema hata huku DUNIANI binadamu wote NI Waislamu japo kila mtu anaimani yake lakini wote wakiingia peponi wanakua Waislamu

Najiuliza hapa Watu weusi mbona kama tunakua watumwa Sana WA DINI? ?
 
Leo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :-

Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani?

Sheikh kamjibu:-

Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na lugha itakayokua inatumika huko peponi NI kiarabu tuu na hakuna lugha nyingine 😎

Sheikh anaendelea kwa kusema hata huku DUNIANI binadamu wote NI Waislamu japo kila mtu anaimani yake lakini wote wakiingia peponi wanakua Waislamu

Najiuliza hapa Watu weusi mbona kama tunakua watumwa Sana WA DINI? ?
Wanasema tutapewa miili mipya
 
Leo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :-

Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani?

Sheikh kamjibu:-

Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na lugha itakayokua inatumika huko peponi NI kiarabu tuu na hakuna lugha nyingine 😎

Sheikh anaendelea kwa kusema hata huku DUNIANI binadamu wote NI Waislamu japo kila mtu anaimani yake lakini wote wakiingia peponi wanakua Waislamu

Najiuliza hapa Watu weusi mbona kama tunakua watumwa Sana WA DINI? ?
Screenshot_20241018_173426_com.facebook.katana.jpg
 
Katika mambo mengi tuliyopigwa na waraabu, hili la kwamba mbinguni tutatumia lugha ya kiarabu tu, na lile la kuzawadiwa mabikra 72 ni mambo ambayo huwa yananichekesha sana 😅
Weeeeeeeeeee bado macho kama mayai......
 
Bora hata hujaulizia mambo ya TCRA kiongozi maana ingekuwa aibu. Ukijaribu kufuatilia vipindi vingi vya dini kwenye Tv na Radio stations utagundua tuna shida kubwa kwenye kiusimamizi

TCRA wenyewe wanajua kufungia nyimbo za wanaharakati tu, ila likija suala la kusimamia leseni kwenye radio na televisheni hamna kitu.
 
kuna imani za aina mbili imani ya nadharia na imani ya yfahamu sasa bwana asilimia 90% watu wameweka imani kwenye kitu wasichokielewa badala ya kuweka imani kwenye kitu wanacho kifahamu

unajua kuweka imani kwenye kitu cha nadharia ni rahisi kudanganywa na kuweka imani kwenye kitu unachokifahamu uwezi kudanganyika.

sasa katika uhalisia kwenye Quran bila shaka hakuna sehemu walipo sema kuwa mbinguni watu watakuwa waarabu au weupe, na hakuna sehemu inayosema watakuwa waislam, na hakuna sehemu inayosema wataongea kiarabu hii inaonesha shekhe amekaa kwenye imani ya nadharia na sio kwamba anacho ongea anaufahamu nacho hii ni shida kubwa sana.


Mbinguni walicho aidiwa na kilicho andikwa kwenye quran ni wanawake 72 na pombe hakuna sehemu walipo ambiwa kuwa watakuwa waarabu, watakuwa weupe, watakuwa wanaongea kiarabu hakuna sehemu hii.

ni vyema kila mtu aweke imani kwenye kitu anachokielewa na kinachoeleweka mfano wakristo wameaidiwa uzima wa milele wakienda mbinguni kwanini ? kwasababu hapo mwanzo mungu aliwaumba wakiwa watu wanao weza kuishi milele ila baada ya kula lile tunda la ujuzi wa mema na mabaya ndipo wakaanza kufa kwahiyo mungu amehidi kurudisha uzima wa milele kwa watu wake umeona hapa inaeleweka vizuri ila huku kwa waislam hakuna sehemu kwenye Quran wanapo zungumzia kurudishiwa uzima wa milele ila waislam wameweka imani kwenye upande wa nadharia na sio kuelewa sasa wataenda kupewa bikra na pombe alafu watakufa kwa sababu hakuna ahadi hiyo.

kitu cha muhimu kweli kweli ni kuishi milele na sio pombe wala wanawake wala kuwa waarabu mtu mwenye akili timamu na aweke imani kwenye kitu unachokifahamu hivi vitu kwenye vlivyopo kwenye pepo ya allah ni sawa na vilivyopo club na kwenye vijiwe vya pombe ila watu wanafuata kwasababu wameweka imani yao kwenye vitu wasivyo vijua ni vya nadharia
 
Leo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :-

Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani?

Sheikh kamjibu:-

Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na lugha itakayokua inatumika huko peponi NI kiarabu tuu na hakuna lugha nyingine 😎

Sheikh anaendelea kwa kusema hata huku DUNIANI binadamu wote NI Waislamu japo kila mtu anaimani yake lakini wote wakiingia peponi wanakua Waislamu

Najiuliza hapa Watu weusi mbona kama tunakua watumwa Sana WA DINI? ?
Hahaha Zumbe mukulu haha
 
Hizi ndio njia mnazotumia kwenye mihadhala kukwepa msingi wa swali, mkiulizwa hiki mnakimbilia kuibua mada nyingine.

Sasa uzuri kwenye Ukristo tumetofautiana misimamo, KKKT, Pentekoste, Anglikana na wengine wengi hawaamini kwenye hiyo picha uliyopost unless una matatizo yako na Wakatoliki.

Turudi kwenye mada husika, unazungumziaje swali la huyo mama na majibu ya huyo kiongozi?
 
Leo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :-

Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani?

Sheikh kamjibu:-

Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na lugha itakayokua inatumika huko peponi NI kiarabu tuu na hakuna lugha nyingine 😎

Sheikh anaendelea kwa kusema hata huku DUNIANI binadamu wote NI Waislamu japo kila mtu anaimani yake lakini wote wakiingia peponi wanakua Waislamu

Najiuliza hapa Watu weusi mbona kama tunakua watumwa Sana WA DINI? ?
Nimekombolewa kutoka katika dini
 
Back
Top Bottom