Joseph Kasa-Vubu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 356
- 550
Siri ipo kwenye hizi dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili upige shoo mkuu😂. Mbinguni ni mwendo wa mgazamuano mwanzo mwisho, yaani mbinguni ni harufu ya nyapu tu muda wote. Imagine mabikra 72, wote wako, halafu unaambiwa wote wazuri na watamu, itakua ni balaa. Mbinguni itakua ni zaidi ya danguro.Hivi hii ishu ya kupewa mabikra 72 ipo siriazi? Na ni ili nini mabikra wote hao?
Mambo ya peponi, na maisha baada ya kifo, ni bidhaa nzuri kuwauzia watu, maana hakuna anayeweza kwenda na kurudi kuthibitisha, kwamba hayo Mambo yapo,Leo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :-
Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani?
Sheikh kamjibu:-
Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na lugha itakayokua inatumika huko peponi NI kiarabu tuu na hakuna lugha nyingine 😎
Sheikh anaendelea kwa kusema hata huku DUNIANI binadamu wote NI Waislamu japo kila mtu anaimani yake lakini wote wakiingia peponi wanakua Waislamu
Najiuliza hapa Watu weusi mbona kama tunakua watumwa Sana WA DINI? ?
Inaitwa imani, kuwa na uhakika na usiyoyaona wala kuyajua.Sasa ile kauli mbiu ya TBC Taifa ukweli na uhakika inasimama wapi kwenye huo uwongo wa huyo shekhe ?
Uislam ni tool ya waarabu kueneza tamaduni zao na mila zao,nothing more nohing less.Leo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :-
Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani?
Sheikh kamjibu:-
Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na lugha itakayokua inatumika huko peponi NI kiarabu tuu na hakuna lugha nyingine 😎
Sheikh anaendelea kwa kusema hata huku DUNIANI binadamu wote NI Waislamu japo kila mtu anaimani yake lakini wote wakiingia peponi wanakua Waislamu
Najiuliza hapa Watu weusi mbona kama tunakua watumwa Sana WA DINI? ?
Ivi kwa akili ya kawaida inakuaje binaadamu kuitwa Mungu?Hizi ndio njia mnazotumia kwenye mihadhala kukwepa msingi wa swali, mkiulizwa hiki mnakimbilia kuibua mada nyingine.
Sasa uzuri kwenye Ukristo tumetofautiana misimamo, KKKT, Pentekoste, Anglikana na wengine wengi hawaamini kwenye hiyo picha uliyopost unless una matatizo yako na Wakatoliki.
Turudi kwenye mada husika, unazungumziaje swali la huyo mama na majibu ya huyo kiongozi?
Elimu elimu elimuLeo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :-
Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani?
Sheikh kamjibu:-
Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na lugha itakayokua inatumika huko peponi NI kiarabu tuu na hakuna lugha nyingine 😎
Sheikh anaendelea kwa kusema hata huku DUNIANI binadamu wote NI Waislamu japo kila mtu anaimani yake lakini wote wakiingia peponi wanakua Waislamu
Najiuliza hapa Watu weusi mbona kama tunakua watumwa Sana WA DINI? ?
Kwa maana hiyo wale mabikira 72 wa kujirusha nao watakuwa wa kiarabu?Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu
Mzee mudi aliona warabu wanapenda sana ngono. Akawahiidi mambo hayo hayo.Katika mambo mengi tuliyopigwa na waraabu, hili la kwamba mbinguni tutatumia lugha ya kiarabu tu, na lile la kuzawadiwa mabikra 72 ni mambo ambayo huwa yananichekesha sana 😅
Wanapenda sana zinazo tightHivi hii ishu ya kupewa mabikra 72 ipo siriazi? Na ni ili nini mabikra wote hao?
Ndio NI KWELI, kuna jamaa yangu ustaadh anasema vigori 72Hivi hii ishu ya kupewa mabikra 72 ipo siriazi? Na ni ili nini mabikra wote hao?
Mkuu Mzanzibar ukimwambia umefanana na Msukuma ana kasirika na kukutukana lakini ukimwambia umefanana na Mwarabu ana furahia.🤣 🤣
Nikikutana na mwafrika kutoka Zanzibar anajiita Mwarabu huwa naona kama naongea tahira...
Natamani kumwambia wewe ni mtumwa
Acha kuhoji majibu ya Sheikh mzee😀Leo ijumaa kuna kipindi cha dini ya kiislamu, watu wanaopiga simu wanauliza maswali :-
Kuna mama kapiga simu kauliza eti watu huko peponi watakua na Rangi gani, DINI gani na watakua wanaongea lugha gani?
Sheikh kamjibu:-
Huko peponi watu wote watakua Weupe waarabu, na wote watakua Waislamu na lugha itakayokua inatumika huko peponi NI kiarabu tuu na hakuna lugha nyingine 😎
Sheikh anaendelea kwa kusema hata huku DUNIANI binadamu wote NI Waislamu japo kila mtu anaimani yake lakini wote wakiingia peponi wanakua Waislamu
Najiuliza hapa Watu weusi mbona kama tunakua watumwa Sana WA DINI? ?
Anaongea vitu vya aibuAcha kuhoji majibu ya Sheikh mzee😀
Kweli niliwahi kufanya kazi na Wachina nikaja kujua wao hawana Sherehe za kidini ila wana sherehe zao za kicha mfano Wana mwaka wao wa Kichina. Yani wao Wachina hawajui Christmas wala Pasaka.Tuliacha dini zetu tukaona hazifai tukafata dini za watu wengine tupambane na hali zetu. China hawataki ukristo wala uislamu wanajua madhara yake, utagundua nini wewe mtu mweusi kwa kufata dini zingine?
Kuhusu mito ya konyagi vipi?Katika mambo mengi tuliyopigwa na waraabu, hili la kwamba mbinguni tutatumia lugha ya kiarabu tu, na lile la kuzawadiwa mabikra 72 ni mambo ambayo huwa yananichekesha sana 😅
Ndivyo ilivyo kiimani na Imani huwa haihojiwi kwani Mara zote huwa ni kukariri tu na sio kuelewa. Amekariri kuwa peponi watu wote watakuwa waarabu na watazungumza kiarabu. Ipo hivyo ni Imani tu mzeeAnaongea vitu vya aibu
Wenye akili watajua Tu kuna vya uongoNdivyo ilivyo kiimani na Imani huwa haihojiwi kwani Mara zote huwa ni kukariri tu na sio kuelewa. Amekariri kuwa peponi watu wote watakuwa waarabu na watazungumza kiarabu. Ipo hivyo ni Imani tu mzee