pakapori
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 536
- 626
Habari ya muda huu wakuu..,
Niko nawaza hapa mzungu asiejua kiswahili hata kidogo ikitokea yupo Tanzania na akapata shida flani ya kumfanya akatafute msaada kituo cha polisi nina imani atapata ushirikiano mzuri kwa lugha anayotumia,
ila sina hakika kwa mmbongo alieko nchi za magharibi ya mbali akitokea akapata shida itayomfanya akareport polisi. Sina hakika kama atapata ushirikiano wa kutosha kama ataongea kiswahili. Ni kwanini iko hivi...,
Bado niko nawaza...,
Niko nawaza hapa mzungu asiejua kiswahili hata kidogo ikitokea yupo Tanzania na akapata shida flani ya kumfanya akatafute msaada kituo cha polisi nina imani atapata ushirikiano mzuri kwa lugha anayotumia,
ila sina hakika kwa mmbongo alieko nchi za magharibi ya mbali akitokea akapata shida itayomfanya akareport polisi. Sina hakika kama atapata ushirikiano wa kutosha kama ataongea kiswahili. Ni kwanini iko hivi...,
Bado niko nawaza...,