future mind
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 221
- 229
"Mkuu genetics haiusiani na mambo ya hali za kiuchumi mzee" ni mambo ya kibaiolojiaUmesoma genetic?
Jichanganye umwoe utakuja kulia siku moja!
Otherways huyo mdada ana ajira au elimu ya kuweza kujisimamia hata kwenye biashara iwapo akiwezeshwa na umpime katika hilo kabla hujamwoa ila kama mama wa nyumbani jipange kuhudumia kwao kila mwezi wanaomba hela na ukute ni zile familia zenye watoto wengi jiandae na kusomesha.
Kingine wanawake waliotoka familia maskini sana ndo wanabadirika na kuwa na roho mbaya badae hubagua ndugu zako na huweza hata kusubiri mkishafanikiwa kidogo kwenye maisha wanatafuta sababu muachane ili mgawane mali
Ngoja niishie hapo kwanza!
Ata mie nashangaa [emoji50]Umaskini wa familia zenu una(ta)athiri vipi mapenzi yenu?
, umasikini wa familia yake ,wewe inakuathiri kitu gani?,Nilikuwa na binti mmoja aisee nilivyokwenda kwao sikuamini, yan wapo kwenye ufukara uliotopea, mwanzo nilijipa moyo kwamba pengine wana umaskini wa kawaida kumbe wapi..
Sikuwahi panga kuoa katika familia maskini ila nikaingia kwenye umaskini uliotopea, Nshukuru now siko naye!
, umasikini wa familia yake ,wewe inakuathiri kitu gani?,
kama wana mienendo mibaya ya kitabia apo sawa lkn kama hawana shida shida za ovyo , kulalamika lalamika kwa sana leo natk iki kesho kile, leo umesomesha mtt wa mjomba ,kesho mtt wa Shngz....huwa kdg inakera mana maendleo hayatkauwepo ndani kwenu.Ulishaanza kuniathiri.. Kuanzia mienendo ya kitabia na mengine mengi!!
hali ilikuaje mkuu? Mliachana vipi?Nilikuwa na binti mmoja aisee nilivyokwenda kwao sikuamini, yan wapo kwenye ufukara uliotopea, mwanzo nilijipa moyo kwamba pengine wana umaskini wa kawaida kumbe wapi..
Sikuwahi panga kuoa katika familia maskini ila nikaingia kwenye umaskini uliotopea, Nshukuru now siko naye!
Naona umepokea ushauri hadi hoi hutaki tena!nashukuru ndugu zangu kwa ushauri wenu, nikiongeza na zangu ntafanya maamuzi. naona sasa nijipe muda kidogo
Kunja ngumi ya amani mikono yako yote jipigepige kifuani huku ukisema " mimi n mwanamke shupavu" then endelea kutoa msaada na kusaidia kadri uwezavyo usikate tamaa, mambo mazuri yanakuja mbele yako.Kama mchumba wako nayeye anakazi muoe tu mtakua mnasaidizana kinyume Cha hapo mh!!!
Binafsi mme wangu kwa ni masikin Sana mi kwetu kidogo mambo Safi....
tatizo linakuja yan tunasaidia ndugu wa mume mpaka mtu unachoka sababu utasaidia mama, baba, wajomba, mashangaz, mashemeji , mawifi mpaka na watoto wao tunasomesha sababu unakuta mtoto kafaul wazazi wake hawana uwezo anakufata anashida hapo lazima yan maendeleo tumesahau kwa muda
Kila mwez tunatuma kwao matumiz lak 2.....
Tuna wadogo zake 2 wanasoma private tuanalipa ada ...watoto wa Dada ake 3 ..2 wapi vyuo hawana mkopo tunalipa sisi mmoja chuo private Cha nurse ada mil 2.5 hapo bado matumiz ya kila mwez
Mpaka Mimi nimechoka kutoa za kwangu sababu mwenzangu anaishiwa kabisa matumiz nabaki napambana Mimi ndani ..
Yan sikushaur kabisaaaa
Umeamua kukiri kwa shatan kwamba were no ........kabisaukweli nampenda huyu mwanamke na naamini nae ananipenda, natamani tuje kuishi pamoja(mke na mume), mimi natoka familia masikini(naweza sema sana) ila mwenzangu amezidi.
nimejitoa kua kwa lolote nijitahidi kwa kadri nitakavyoweza, ila kuna muda kuna kasauti kananijia kua haya majukumuni makubwa sana hovyo kama kananishawishi ni stop.
Silelewi. ingawa kwa asilimia kubwa moyo unanituma kukomaa nae as long personally tuna match.
Kama mchumba wako nayeye anakazi muoe tu mtakua mnasaidizana kinyume Cha hapo mh!!!
Binafsi mme wangu kwa ni masikin Sana mi kwetu kidogo mambo Safi....
tatizo linakuja yan tunasaidia ndugu wa mume mpaka mtu unachoka sababu utasaidia mama, baba, wajomba, mashangaz, mashemeji , mawifi mpaka na watoto wao tunasomesha sababu unakuta mtoto kafaul wazazi wake hawana uwezo anakufata anashida hapo lazima yan maendeleo tumesahau kwa muda
Kila mwez tunatuma kwao matumiz lak 2.....
Tuna wadogo zake 2 wanasoma private tuanalipa ada ...watoto wa Dada ake 3 ..2 wapi vyuo hawana mkopo tunalipa sisi mmoja chuo private Cha nurse ada mil 2.5 hapo bado matumiz ya kila mwez
Mpaka Mimi nimechoka kutoa za kwangu sababu mwenzangu anaishiwa kabisa matumiz nabaki napambana Mimi ndani ..
Yan sikushaur kabisaaaa