Niko Njia Panda... Msaada Please

Niko Njia Panda... Msaada Please

tatizo lako is u dnt know wat u want!! go figure that out first then the answer will be very clear.
 
Mimi bana ndo maana napendaga sana Kongosho bana.

Angekuwa hana feeling yoyote kwa John (iwe ya kimapenzi au ya kiuchumi) huyu mhanga wa mapenzi asingeanzisha huu uzi. Kwani kishatongozwa na wangapi bana? Mbona hajawafungulia uzi hapa?

Stuka!

Afu mbona sijajibiwa jamani kuwa leo ni juma ngapi?

Leo ni Thirsty Thursday :A S 101:
 
Tembea na John wakati huo unamchanganya na Peter nae
 
can you findout kwanza kuhusu huyo bwana john kwann aliachana na mke wake? because hawa wanaume waliokuwa wameshawahi kuoa wengine wanaficha vituko vyao.. vilevile angalia nani mwenye mapenzi ya dhati kati ya john na peter ,muhimu ni mapenzi na huduma sio fedha usije ukapata tabu baadae s unajua wanaume wakihitaji wanakuwa wanyenyekevu ,gud luck na maamuzi yako yawe ya uhakika.
 
Mapenzi na pesa v2 vwl tofauti kama huamin nenda kwa john ukaone utakavyo pendwa mwanzoni na atakavyokutesa mwishon
 
Mimi nakushauri unitafute maana mimi ni zaidi ya uyo peter na john unaowang'ang'ania
namba zangu ni T 126 ABK
 
Asprin, njemba ni 2 tu, hiyo ya tatu ni kongosho wala siifahamu

Khaaa! Leo ndo nimejua definisheni ya jina Kongosho.... Kumbe kongosho inamaanisha Mchimvi!.......... hahahaha umeenda kupekua makabrasha... unamfaa sana Shigongo wewe.

Tatizo Peter wa kule ni mwajiriwa na bibie kamzidi mshahara, huyu wa sredi hii ni mishen town. Labda Da Asia atuambie kumbe kuna njemba jingine la tatu liko kwenye list yake..... khaa!
 
Jamani Asprin kumlike Roulette haina maana nimeshafanya maamuzi, nime like alivyo comment , maana haku base kwa John wala Peter

Kumbe tayari ulishakuwa na maamuzi afu unakuja kutuomba ushauri.

My dearest Kongosho twenzetu Chit Chat bana, ushauri wetu kumbe tulikuwa tunamtawaza kitimoto kwa toilet paper.

Afu huyu Roulette ndo yule wa kirusi au wa kimarekani? Wa kirusi sijui kapotelea wapi na shem wangu AshaDii. Nimewamisi mpaka nimemkumbuka Gadafi.
 
Da Asia fanya ndoa na John msaidiane kulea watoto wakue then sababu unampenda sana Peter mwambie awe na ukiwa unamwitaji utamtumia kwa kumlipa pesa za kutoka kwa John ila fanya siri John asisanuke na maisha yatakwenda raha mustarehe.Ama?
 
Last edited by a moderator:
Of course, I dont know what I want that's why I need your help....

tatizo lako is u dnt know wat u want!! go figure that out first then the answer will be very clear.
 
Hali zenu wana JF...
Naomba ushauri wenu tafadhali maana niko njia panda.

kuna huyu m-baba, sitamuita kaka maana ni mtu mzima. tulifahamiana miaka kama 7 iliyopita. Alinipenda sana, mpaka sasa naamini ananipenda kupita maelezo. Mimi binafsi hajawahi kuniingia moyoni. anajua simdondokei, lakini anaamini kuna siku nitabadili mawazo. Wakati huo naanza kufahamiana nae alikua na mke. ana bidii kwa kweli ya kuniweka sawa, lakini mimi wapi. kuna wakati anachoka na kukata mawasiliano, lakini vile mimi sina time nae, wala hainikeri. Mwaka unakatika anarudi tena, lakini mambo ni yale yale kwa upande wangu. Ana matatizo yake huyo kaka, sitapenda kuyaeleza ila kwa kifupi we are not compatible, nionavyo mimi we cant be togather.
Miezi kama mitatu iliyopita, karudi tena kwa nguvu mpya, na this time ni divorcee. nimeamua kua mpole fulani, japo still roho inakataa. ana kazi nzuri, ana watoto wake anaishi nao, anataka ndoa, anadai nafsi yake imeelekezwa kwangu, pamoja na kuwa namuudhi siku zote, lakini bado he thinks we can have a good life togather. Huyu nitamuita John.

Kuna mwingine, huyu namuita Peter. Peter yeye, tuliwahi kua na mahusiano miaka kama mitano iliyopita ambayo yalidumu kama miaka miwili na kiasi fulani. Tulipendana sana mpaka tulipewa majina mji huu. tukatofautiana kidogo sana na kitu cha kijinga mno, sababu ya kila mmoja kua na hasira na mwenzie, tuka break-up. niliumia na yeye naamini aliumia sana. Peter hana ajira inayoeleweka zaidi ya mission town niseme japo ana elimu. ni wale watu ambao they think hawawezi kuajiriwa.
From nowhere Peter nae anataka kurudisha majeshi, kwa nguvu zote. kibaya ni kwamba kaja wakati mmoja na John.
Peter nafsi yangu inampenda sana, na yeye naamini ananipenda, tuna match kwenye kila kitu, very compatible, interests na hobby zetu ni moja. maongezi yanalandana, namzidi kidogo umri, lakini kwangu sio issue.

Niko njia panda. John ananipenda sana na anataka ndoa, maisha yake mazuri, nikiolewa nae najua sitabahitisha kuishi, nina uhakika wa maisha bora, pesa yangu najua nitaotoa kwa kusaidia tu, lakini si lazima. Tatizo bado hayuko moyoni mwangu.

Peter, tunapendana sana, naamini hivyo, lakini hana ajira, maisha ni mishe mishe mjini mradi kunakwenda. aliwahi kuoa nae akaachana na mkewe. kwa sasa nae ni single. nikiwa nae ina maana maisha ni ku share au mimi niwajibike zaidi pale mission zinapokataa.

Mimi mwenyewe nina maisha yangu, I cant complain, najiweza, hata nisipopata msaada wa mtu maisha yangu yanakwenda vizuri bila kukuna kichwa.

Wana JF, ushauri na nasaha zenu ni muhimu. Kina dada, kama ni wewe utaenda kwa Peter au John...

Nenda kwa Peter tafadhali achana na hilo dingi wadada peaneni taarifa msimpe ushirikiano mpaka arudiane na mkewe alah!!!
 
Kongosho, nashindwa kuamini kama katika miaka kadhaa ambayo John ananifuatulia sijam feel, kweli litam feel leo:confused3: John, najua ananipenda zaidi kuliko Peter, nahisi hii ndio inaniweka njia panda.

FirstLady1, hadi Asia kuja hapa ujue kuna kitu ndani yake kwa John, ila bado anataka kuwa na Peter.

Huwezi wekwa njia panda na mtu ambaye haufeel chochote, penzi kwa John na hakika lipo, japo sijui kwa kiwango gani.

Kwa hiyo analo la kutosha kujiset mbele kwa mbele lol.
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma huu uzi nikakumbuka story flani niliwahi kusimuliwa na baadae kuja kuiona kwa ndugu zangu flani. Maisha siku zote hupendeza ikiwa moyo wa wanandoa wote kwa pamoja mkipendana kwa "DHATI". pesa hulainisha ugumu wa maisha lakini haulainishi moyo wa mtu.

kuna ndg yangu wa kiume yeye kweli alikuwa ni mmoja ya wale mission town haswa, akampata binti mmoja mwenye pesa zake na kweli wakapendana kwa "DHATI" yule dada bila kusikiliza kelele za nje akaamua kuingia ndani mwa moyo wa brother yetu na kuamua kuoana. baada ya hapo waka share sweets & bitter za maisha na kweli mungu si "KIFULAMBUTE" wakatoka tena kwa kasi ambayo kila mtu hakuweza kufikiri. ndipo leo ninaona uzi wako na kufananisha na hii familia tajiri kwa sasa..


dada yangu maisha ya ndoa ni "UPENDO" na wala si USD$, mpe nafasi mtu unaempenda kweli na moyo wako uko tayari kushare mazuri na mabaya na mtafanikiwa maishani...kumbuka kuna familia tajiri nyingi sana baba ana cash ya kweli lakini kila ikifika jioni ngumi na mateke ndani ya nyumba ndio taratibu ya kila siku.
 
Unavyooneka umeshamdondokea John, sema unatafuta justication ya kutosha..Ila angalia sana usije ukawa unakula kwa John ukawa unalala kwa Peter.

Anyway, mpende akupendaye..vingine utajifunza mbele ya safari. Historia inaonyesha misheni town wengi hawafugiki na ndio wadada wengi mnawapapatikia.
 
Hali zenu wana JF...
Naomba ushauri wenu tafadhali maana niko njia panda.

kuna huyu m-baba, sitamuita kaka maana ni mtu mzima. tulifahamiana miaka kama 7 iliyopita. Alinipenda sana, mpaka sasa naamini ananipenda kupita maelezo. Mimi binafsi hajawahi kuniingia moyoni. anajua simdondokei, lakini anaamini kuna siku nitabadili mawazo. Wakati huo naanza kufahamiana nae alikua na mke. ana bidii kwa kweli ya kuniweka sawa, lakini mimi wapi. kuna wakati anachoka na kukata mawasiliano, lakini vile mimi sina time nae, wala hainikeri. Mwaka unakatika anarudi tena, lakini mambo ni yale yale kwa upande wangu. Ana matatizo yake huyo kaka, sitapenda kuyaeleza ila kwa kifupi we are not compatible, nionavyo mimi we cant be togather.
Miezi kama mitatu iliyopita, karudi tena kwa nguvu mpya, na this time ni divorcee. nimeamua kua mpole fulani, japo still roho inakataa. ana kazi nzuri, ana watoto wake anaishi nao, anataka ndoa, anadai nafsi yake imeelekezwa kwangu, pamoja na kuwa namuudhi siku zote, lakini bado he thinks we can have a good life togather. Huyu nitamuita John.

Kuna mwingine, huyu namuita Peter. Peter yeye, tuliwahi kua na mahusiano miaka kama mitano iliyopita ambayo yalidumu kama miaka miwili na kiasi fulani. Tulipendana sana mpaka tulipewa majina mji huu. tukatofautiana kidogo sana na kitu cha kijinga mno, sababu ya kila mmoja kua na hasira na mwenzie, tuka break-up. niliumia na yeye naamini aliumia sana. Peter hana ajira inayoeleweka zaidi ya mission town niseme japo ana elimu. ni wale watu ambao they think hawawezi kuajiriwa.
From nowhere Peter nae anataka kurudisha majeshi, kwa nguvu zote. kibaya ni kwamba kaja wakati mmoja na John.
Peter nafsi yangu inampenda sana, na yeye naamini ananipenda, tuna match kwenye kila kitu, very compatible, interests na hobby zetu ni moja. maongezi yanalandana, namzidi kidogo umri, lakini kwangu sio issue.

Niko njia panda. John ananipenda sana na anataka ndoa, maisha yake mazuri, nikiolewa nae najua sitabahitisha kuishi, nina uhakika wa maisha bora, pesa yangu najua nitaotoa kwa kusaidia tu, lakini si lazima. Tatizo bado hayuko moyoni mwangu.

Peter, tunapendana sana, naamini hivyo, lakini hana ajira, maisha ni mishe mishe mjini mradi kunakwenda. aliwahi kuoa nae akaachana na mkewe. kwa sasa nae ni single. nikiwa nae ina maana maisha ni ku share au mimi niwajibike zaidi pale mission zinapokataa.

Mimi mwenyewe nina maisha yangu, I cant complain, najiweza, hata nisipopata msaada wa mtu maisha yangu yanakwenda vizuri bila kukuna kichwa.

Wana JF, ushauri na nasaha zenu ni muhimu. Kina dada, kama ni wewe utaenda kwa Peter au John...


Ndowa inafana sana panapo mapenzi ya wawili.Peter mnapendana na John anakupenda hivyo mchanganyiko na Peter ndio chaguo halisi. Wacha ubinafsi wako uwe tayari kukaa chini na Peter ili mpange maisha, hii tabia yenu wasichana kufikiri kuwa ndowa ni ajira sio mashirikiano ndio inayofanya mtawaliwe na wanaume.
John yuko tayari kuacha mke kwa mapenzi juu yako kwanini wewe usiwe tayari kumkataa kwa mapenzi yako kwa Peter?
 
Mimi bana ndo maana napendaga sana Kongosho bana.

Angekuwa hana feeling yoyote kwa John (iwe ya kimapenzi au ya kiuchumi) huyu mhanga wa mapenzi asingeanzisha huu uzi. Kwani kishatongozwa na wangapi bana? Mbona hajawafungulia uzi hapa?

Stuka!

Afu mbona sijajibiwa jamani kuwa leo ni juma ngapi?

Hapo nimemuelewa kwanini alikuwa anaomba ushauri.... shika ushikacho, kijacho majaariwa mama.
 
Hali zenu wana JF...
Naomba ushauri wenu tafadhali maana niko njia panda.

kuna huyu m-baba, sitamuita kaka maana ni mtu mzima. tulifahamiana miaka kama 7 iliyopita. Alinipenda sana, mpaka sasa naamini ananipenda kupita maelezo. Mimi binafsi hajawahi kuniingia moyoni. anajua simdondokei, lakini anaamini kuna siku nitabadili mawazo. Wakati huo naanza kufahamiana nae alikua na mke. ana bidii kwa kweli ya kuniweka sawa, lakini mimi wapi. kuna wakati anachoka na kukata mawasiliano, lakini vile mimi sina time nae, wala hainikeri. Mwaka unakatika anarudi tena, lakini mambo ni yale yale kwa upande wangu. Ana matatizo yake huyo kaka, sitapenda kuyaeleza ila kwa kifupi we are not compatible, nionavyo mimi we cant be togather.
Miezi kama mitatu iliyopita, karudi tena kwa nguvu mpya, na this time ni divorcee. nimeamua kua mpole fulani, japo still roho inakataa. ana kazi nzuri, ana watoto wake anaishi nao, anataka ndoa, anadai nafsi yake imeelekezwa kwangu, pamoja na kuwa namuudhi siku zote, lakini bado he thinks we can have a good life togather. Huyu nitamuita John.

Kuna mwingine, huyu namuita Peter. Peter yeye, tuliwahi kua na mahusiano miaka kama mitano iliyopita ambayo yalidumu kama miaka miwili na kiasi fulani. Tulipendana sana mpaka tulipewa majina mji huu. tukatofautiana kidogo sana na kitu cha kijinga mno, sababu ya kila mmoja kua na hasira na mwenzie, tuka break-up. niliumia na yeye naamini aliumia sana. Peter hana ajira inayoeleweka zaidi ya mission town niseme japo ana elimu. ni wale watu ambao they think hawawezi kuajiriwa.
From nowhere Peter nae anataka kurudisha majeshi, kwa nguvu zote. kibaya ni kwamba kaja wakati mmoja na John.
Peter nafsi yangu inampenda sana, na yeye naamini ananipenda, tuna match kwenye kila kitu, very compatible, interests na hobby zetu ni moja. maongezi yanalandana, namzidi kidogo umri, lakini kwangu sio issue.

Niko njia panda. John ananipenda sana na anataka ndoa, maisha yake mazuri, nikiolewa nae najua sitabahitisha kuishi, nina uhakika wa maisha bora, pesa yangu najua nitaotoa kwa kusaidia tu, lakini si lazima. Tatizo bado hayuko moyoni mwangu.

Peter, tunapendana sana, naamini hivyo, lakini hana ajira, maisha ni mishe mishe mjini mradi kunakwenda. aliwahi kuoa nae akaachana na mkewe. kwa sasa nae ni single. nikiwa nae ina maana maisha ni ku share au mimi niwajibike zaidi pale mission zinapokataa.

Mimi mwenyewe nina maisha yangu, I cant complain, najiweza, hata nisipopata msaada wa mtu maisha yangu yanakwenda vizuri bila kukuna kichwa.

Wana JF, ushauri na nasaha zenu ni muhimu. Kina dada, kama ni wewe utaenda kwa Peter au John...

Dada Da Asia ushauri wangu unazingatia hapo pekundu. Ukiolewa na mwanaume anayekupenda kuliko wewe unavyompenda, uta-enjoy maisha mpaka basi!!!! Najua utanibishia, ila kwa uzoefu wangu, wewe unampenda zaidi Peter kuliko yeye anavyokupenda - so ukiolewa na huyu ujue itakula kwako!
 
Back
Top Bottom