Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa na mahusiano naye kwa muda wa miaka miwili na miezi kadhaa, tulipendana sana nakuheshimiana na kusaidiana katika hali na mali,
Kwa muda wa mwezi sasa alikuwa na tabia ambazo zilikuwa hazieleweki,kwa kuwa yeye anafanya kazi Arusha nilifunga safari mpaka kwenda kule kumsalimia nilikuta kila kitu kimebadilika,alikuwa hanijali tukienda out hanijali hata tukiwa barabarani tunatembea alikuwa anathubutu kuniacha nyuma yeye anakuwa mbele yangu, kuna siku tulienda Club aliniacha peke yangu akaenda kucheza na wasichana wengine akanidanganya kua niwafanyakazi wenzake, lakini nikamwuliza mbona hujanitambulisha? Akawa ananizungusha hakunipa jibu la kueleweka sikumwambia chochote.
Nilirudi zangu Dar esSalaam maisha yakaendelea kusonga mbele niliendelea kumpigia simu kumtumia message na kumtumia zawadi kila mara nilipopata muda wa kufanya hivyo.
Tumeendelea kuwasiliana kila mara na nimeendelea kumwonyesha upendo wangu wa dhati maana sikujua nakufahamu nini kinaendelea. Leo nimempigia simu kumwambia sina pesa nahitaji kama laki tatu, haraka haraka kanitumia, amenipigia simu nyingi sana na ameniandikia sms akinitaka niende arusha kumtembelea amenisihi sana lakini nikamwambia "nilikuja hukunichangamkia wala hukionesha kunijali kweli sijisikii kuja"amenisihi sana lakini nikamwambia kwa sasa sina muda kuna mambo yamebana sana labda Holiday za Xmass na mwaka mpya. Akawa amenielewa tukaongea na mambo mengine.
Baada ya muda akanitumia message ananiambia kuna kitu anataka aniambie ila nisikasirike nikamwambia hamna noma.
Amenitumia ujumbe huu......
Baby sorry najua nitakuumiza please haikuwa dhamira yangukufanya hivyo but nimejikuta tu imetokea nikawa na mahusiano ya kimapenzi namsichana hapa Arusha anaitwa Rachel nilimu approach akanikubalia ingawa sikutaka kuachana na wewe directly but ikatokea nikawa sikupendi kabisa nani kawa najisikia kero hata kupokea simu yako, ingawa nilifikiria kuachana nawewe lakini nikaona sio vizuri sikufanya nae mapenzi zaidi ya romance, na nilichana picha zako zawadi zako zote ulizonitumia nilichoma moto. Lakini juzi nimeachana na. nae nahitaji kuendelea na wewe naomba unisamehe na usichukue hatua mbaya kumbuka tumetoka mbali.
Jamani naomba mnishauri nifanyaje yaani hapa nilipo simu zangu zote nimeziweka kwenye flight mode nanyingine Offline sitaki pokea simu zake, please nahitaji ushauri wenu
Kwa muda wa mwezi sasa alikuwa na tabia ambazo zilikuwa hazieleweki,kwa kuwa yeye anafanya kazi Arusha nilifunga safari mpaka kwenda kule kumsalimia nilikuta kila kitu kimebadilika,alikuwa hanijali tukienda out hanijali hata tukiwa barabarani tunatembea alikuwa anathubutu kuniacha nyuma yeye anakuwa mbele yangu, kuna siku tulienda Club aliniacha peke yangu akaenda kucheza na wasichana wengine akanidanganya kua niwafanyakazi wenzake, lakini nikamwuliza mbona hujanitambulisha? Akawa ananizungusha hakunipa jibu la kueleweka sikumwambia chochote.
Nilirudi zangu Dar esSalaam maisha yakaendelea kusonga mbele niliendelea kumpigia simu kumtumia message na kumtumia zawadi kila mara nilipopata muda wa kufanya hivyo.
Tumeendelea kuwasiliana kila mara na nimeendelea kumwonyesha upendo wangu wa dhati maana sikujua nakufahamu nini kinaendelea. Leo nimempigia simu kumwambia sina pesa nahitaji kama laki tatu, haraka haraka kanitumia, amenipigia simu nyingi sana na ameniandikia sms akinitaka niende arusha kumtembelea amenisihi sana lakini nikamwambia "nilikuja hukunichangamkia wala hukionesha kunijali kweli sijisikii kuja"amenisihi sana lakini nikamwambia kwa sasa sina muda kuna mambo yamebana sana labda Holiday za Xmass na mwaka mpya. Akawa amenielewa tukaongea na mambo mengine.
Baada ya muda akanitumia message ananiambia kuna kitu anataka aniambie ila nisikasirike nikamwambia hamna noma.
Amenitumia ujumbe huu......
Baby sorry najua nitakuumiza please haikuwa dhamira yangukufanya hivyo but nimejikuta tu imetokea nikawa na mahusiano ya kimapenzi namsichana hapa Arusha anaitwa Rachel nilimu approach akanikubalia ingawa sikutaka kuachana na wewe directly but ikatokea nikawa sikupendi kabisa nani kawa najisikia kero hata kupokea simu yako, ingawa nilifikiria kuachana nawewe lakini nikaona sio vizuri sikufanya nae mapenzi zaidi ya romance, na nilichana picha zako zawadi zako zote ulizonitumia nilichoma moto. Lakini juzi nimeachana na. nae nahitaji kuendelea na wewe naomba unisamehe na usichukue hatua mbaya kumbuka tumetoka mbali.
Jamani naomba mnishauri nifanyaje yaani hapa nilipo simu zangu zote nimeziweka kwenye flight mode nanyingine Offline sitaki pokea simu zake, please nahitaji ushauri wenu