Niko njia panda, ushauri unahitajika

Aisee we jamaa kuwa serious,
 
huggies 30,000 week 1
Ukunga 150,000 gharama za bima bila bima 750,000
Cerelac 30,000
Maziwa 30,000 mwezi
Set ya nguo,bebishow, mabeseni, chupa za maziwa andaa 500,000
Usafiri 50,000

Vingine wataongezea wadau.Tafakari chukua hatua!
Haki malezi.
 
Mhhh mbona hatari na nusu wazee...bora aitoe tuu
C umesema dhambi,

Tamaaa huzaaa dhambi,na dhambi huzaaa mauti..kwasabab ya tamaaa zako unataka kuleta umauti.


Kitanda hakuzai haramu.. Wewe umefika mpk chuo unaogopa kisa umempa mimba,na sisi tuliozaa wapa. Mimba tukiwa form II,Tufanyeje...?


Acha utoto,nenda kapime ultrasound ujue INA miez mingap... Na upige hesab kama mwez huo mlikutana,kama kweli Jibane na boom...uleee mimba,


#alaf akili itakuwa uache kuogopa kulea uhai na kuona raha kuua# Kama ulimsikiliza umwagie ndani,basi msikilize ULEEEE#
 
Sawaaaaa
 

Kweli.mtt n kujipanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…