Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha masihara,mwenzio ana shida wee unaweka utani..Mavi yako.Omba kazi ya kufagia hapo kanisani
[emoji706][emoji706]Omba kazi ya kufagia hapo kanisani
Heeee!Omba kazi ya kufagia hapo kanisani
Sasa yeye kasema anashinda kanisani .. bora akaomba kazi mazingira hayo ..nani ataajiri mtu muda wote anashinda kanisaniAchAcha masihara,mwenzio ana shida wee unaweka utani..Mavi yako.
Vijana wengi makwama kwa kukosa maarifa ama kushindwa kujieleza.Naomben mwenye kunisitil anisitili ndugu zangu. Pakuishi ninapo lakin sina kazi ndugu zangu
Naombeni mwenye kunisaidia anisaidie kazi yeyote tu
Asanten sana MUNGU AWABARIK SANA
Mara nyingi nakuwa niko ST Joseph nikipiga Ibada
Anashinda kanisani kwasababu hana kaziSasa yeye kasema anashinda kanisani .. bora akaomba kazi mazingira hayo ..nani ataajiri mtu muda wote anashinda kanisani
Jina naitwa MayalaVijana wengi makwama kwa kukosa maarifa ama kushindwa kujieleza.
Ebu jieleze vizuri pengine ukapata msaada kwamfano:
Wewe ni nani?
Una umri gani?
Una ujuzi gani?
Unafamilia inayo kutegemea?
Kiwangu chako cha elimu?
Unatamani usaidiwe kazi gani?
Unauwezo wa kufanya kazi gani?
Je upo tayari kufanya kazi mikoani?
Nakadhalika na kadhalika.....
Unaweza fanya kazi ya mshahara wa 100KJina naitwa Mayala
Miaka 30
Sina familia inayonitegemea
Naweza fanya kazi mikoan
Elimu kidato cha 4
Jina naitwa Mayala
Miaka 30
Sina familia inayonitegemea
Naweza fanya kazi mikoan
Elimu kidato cha 4
Pdidy wa Tanzania HelloUna ujuzi gani?
Mpakwa mafuta y upak, niambie 😀Pdidy wa Tanzania Hello