Kupiga puli hakuna faidaLieni tu
Lia kwa ajili yako
Kulia ni afya kama ilivyo kupiga puli
Ama hamjui hata faida za kulia?
Basi na Makonda ana upungufu huoKupiga puli hakuna faida
Kulia kuna faida hatukatai ila ukipiga yowe hadharani utakuwa una walakini
Familia inamtegemea baba aliyeenda vitani. baba anarudi analia
kulia hovyo hovyo ni upungufu wa testosterone