Niko serious natafuta mchumba

Hamna cjawai kukucheki kweli umenifananisha
Ni ww huyo huyo ety ukasema Mim nakupenda kweli, ukatuma emojis za kulia Mim nikaweka ngumπŸ‘ΊπŸ‘ΊπŸ‘ΊπŸ‘ΊπŸ‘Ί
 
Mkuu kwanini unaweka vigezo kama urefu na unene ila wewe hautaki kuwekewa kigezo cha umri?

Au hauoni unajichanganya Mkuu?

bigmen
 
Kama we unavyokataa wanene na kuna watu hawapend under age
 
Nenda kanisani au sokoni.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…