Mmmhh ningekuwa CUF ningelikutafuta! Kuna memba mmoja huyo anaitwa M Sugu anapenda karate
wapendwa JF wa michezo ya kuchapana, toa shaka, kuanzia end of January 2011
muda ukiruhusu kuanzia saa 11 jioni hapa Dar, tunaweza ku organize na nikajitolea bure
to train you free, Kung fu + kung fu meditation, karate, judo, kick boxing na taekwondo hii ni muhimu
sana, najua kazi na masomo Msc Eng vinanibana but at least in a week tunaweza kupata 3 days for three hours sawa na masaa 9 kwa week, hii michezo itakupa nguvu mno, mno,
unaweza kumpiga mtu yeyote narudia yeyote kwa dakika 2 hadi 4 au 5 au unaweza kupigana na watu zaidi ya watatu at once wenye mazoezi na kuwagaragaza quickly, au kujihami nk
michezo hii inakujenga kisaikolojia na si lazima uwe flexible & tall labda kama mm ukiniona, la mtu wa umbo lolote anafit sana, meditation will transform you in another world of fighting, baada ya 3 months ukifanikiwa kuendelea na mazoezi, mtu hawezi kusimama mbele yako kwa mikono, dak 2-4 umeshamaliza mchezo saa nyingi, super fighters hawapigani muda mrefu hata siku moja labda akutane na super fighter mwingine like bruce Lee, ukimkosa atakimbia kama mbwa mwizi, hii ni muhimu si tu kwa kujihami pia kwa afya bora mazoezi muhimu. See you wapendwa
wapendwa JF wa michezo ya kuchapana, toa shaka, kuanzia end of January 2011
muda ukiruhusu kuanzia saa 11 jioni hapa Dar, tunaweza ku organize na nikajitolea bure
to train you free, Kung fu + kung fu meditation, karate, judo, kick boxing na taekwondo hii ni muhimu
sana, najua kazi na masomo Msc Eng vinanibana but at least in a week tunaweza kupata 3 days for three hours sawa na masaa 9 kwa week, hii michezo itakupa nguvu mno, mno,
unaweza kumpiga mtu yeyote narudia yeyote kwa dakika 2 hadi 4 au 5 au unaweza kupigana na watu zaidi ya watatu at once wenye mazoezi na kuwagaragaza quickly, au kujihami nk
michezo hii inakujenga kisaikolojia na si lazima uwe flexible & tall labda kama mm ukiniona, la mtu wa umbo lolote anafit sana, meditation will transform you in another world of fighting, baada ya 3 months ukifanikiwa kuendelea na mazoezi, mtu hawezi kusimama mbele yako kwa mikono, dak 2-4 umeshamaliza mchezo saa nyingi, super fighters hawapigani muda mrefu hata siku moja labda akutane na super fighter mwingine like bruce Lee, ukimkosa atakimbia kama mbwa mwizi, hii ni muhimu si tu kwa kujihami pia kwa afya bora mazoezi muhimu. See you wapendwa
wapendwa JF wa michezo ya kuchapana, toa shaka, kuanzia end of January 2011
muda ukiruhusu kuanzia saa 11 jioni hapa Dar, tunaweza ku organize na nikajitolea bure
to train you free, Kung fu + kung fu meditation, karate, judo, kick boxing na taekwondo hii ni muhimu
sana, najua kazi na masomo Msc Eng vinanibana but at least in a week tunaweza kupata 3 days for three hours sawa na masaa 9 kwa week, hii michezo itakupa nguvu mno, mno,
unaweza kumpiga mtu yeyote narudia yeyote kwa dakika 2 hadi 4 au 5 au unaweza kupigana na watu zaidi ya watatu at once wenye mazoezi na kuwagaragaza quickly, au kujihami nk
michezo hii inakujenga kisaikolojia na si lazima uwe flexible & tall labda kama mm ukiniona, la mtu wa umbo lolote anafit sana, meditation will transform you in another world of fighting, baada ya 3 months ukifanikiwa kuendelea na mazoezi, mtu hawezi kusimama mbele yako kwa mikono, dak 2-4 umeshamaliza mchezo saa nyingi, super fighters hawapigani muda mrefu hata siku moja labda akutane na super fighter mwingine like bruce Lee, ukimkosa atakimbia kama mbwa mwizi, hii ni muhimu si tu kwa kujihami pia kwa afya bora mazoezi muhimu. See you wapendwa
hahaa nimepiga sana karate pale msikiti wa mtambani..ntakuja kuongeza ujuzi usijali
Aisee hii bonge la idea. I am so interested. Tafadhali naomba utuambie mapema ni lini utaanza haya mafunzo ili tuweze kujipanga na foleni za barabarani na kupanga muda wa kutoka huko tunapotoka hadi kufika panapostahili...!
Napenda sana hii kun fu sema naogopa sana mafunzo yake manake najua kuna kupiga msamba na mazoezi yake ni ya kuumiza sana. Je unauzoefu wa ku train watu ambao ni fresh? ambao hawajawahi hata kurusha teke moja?
Dawa kutoka nduki tu..🙂
mkuu umenimaliza mbavu!!!!
Heheh! Kweli kamanda Hashycool hiyo misamba na round kicks tuwaachie kina Jackie Chan! wana-make money out of them.
Lini tunaanza hii kitu?
Dawa kutoka nduki tu..🙂
kwa hiyo unashauri vipi....tutafute ticha wa kutoka nduki
Wakenya wale wanao-win marathon
kwa hiyo mtu akileta za kijet lii we unatazama njia gani ina kilima
Dah! Mkuu, unaonekana wewe mkali kushinda hata wale magwiji wa Kung fu na Karate, kina Bruce Lee, Jet Li, Jack Chan, na hata yule mkali wa Thai box Tony Ja umemshinda... Maana hawa magwiji wa Martial art, wao wame-speacilised kwenye aina moja tu ya sanaa ya mapigano, lakini wewe, umekusanya karibu sanaa 5 kama si sita, zikiwemo, kung fu, karate, Judo, kick boxing, taekwondo na hata ile hali ya kutafakari (meditation) wewe unajuwa namnai yake...!wapendwa JF wa michezo ya kuchapana, toa shaka, kuanzia end of January 2011
muda ukiruhusu kuanzia saa 11 jioni hapa Dar, tunaweza ku organize na nikajitolea bure
to train you free, Kung fu + kung fu meditation, karate, judo, kick boxing na taekwondo hii ni muhimu
...hii michezo itakupa nguvu mno, mno, unaweza kumpiga mtu yeyote narudia yeyote kwa dakika 2 hadi 4 au 5 au unaweza kupigana na watu zaidi ya watatu at once wenye mazoezi na kuwagaragaza quickly, au kujihami nk
michezo hii inakujenga kisaikolojia na si lazima uwe flexible & tall labda kama mm ukiniona, la mtu wa umbo lolote anafit sana, meditation will transform you in another world of fighting, baada ya 3 months ukifanikiwa kuendelea na mazoezi, mtu hawezi kusimama mbele yako kwa mikono, dak 2-4 umeshamaliza mchezo saa nyingi, super fighters hawapigani muda mrefu hata siku moja labda akutane na super fighter mwingine like bruce Lee, ukimkosa atakimbia kama mbwa mwizi, hii ni muhimu si tu kwa kujihami pia kwa afya bora mazoezi muhimu. See you wapendwa