Niko tayari kujitolea katika taasisi yoyote ya maswala ya Bima/ insurance kwa kazi yoyote nia kujifunza zaidi kwa elimu niliyonayo Asanteni

Niko tayari kujitolea katika taasisi yoyote ya maswala ya Bima/ insurance kwa kazi yoyote nia kujifunza zaidi kwa elimu niliyonayo Asanteni

Swizbe

Member
Joined
Jun 2, 2021
Posts
10
Reaction score
7
Habari Wana JF,

Kwa Jina Naitwa Steven Naishi Ilala Dar es salaaam namiaka 24 Pia ni Kijana mchapa Kazi mwaminifu kwa kila majukumu nayofanya, Katika swala langu la kielimu nimehitimu level zote ikiwemo O level, Advanced level na kwa sasa ni kijana naehitimu elimu yang yangu chuoni nikiwa nachukuwa Degree ya masuala ya Bima na udhibiti majanga/ Bachelor in insurance and risk management.

Naweza kufanya kazi yoyote ndani ya elim yang na pia nje ya elim niliyonayo. Nimefanya field sehem mbalimbali ikiwemo kampuni ya Kadio insurance Broker iliyopo Goba Dar es Salaam, na pia katika kitengo cha Containers iliyopo Bandarini Dar es salaam ( TICTS) TANZANIA INTERNATIONAL CONTAINER TERMINAL SERVICES) nauwezo wa kujifunza mamb mbali mbali na ubunifu pia napenda Jambo nalofanya na kujifunza zaidi.

Nipo tayali kwa maelekezo kwa mujib wa taharifa iliyojieleza

Asanteni Kwa Mawasiliano namba zangu ni 0629868082
 
TANGAZO LA KAZI ZA KUJITOLEA

TAREO-Tanzania Rural Empowernment Organiztion ni assi isiyo ya kiserikali yenye mako yake makuu Moshi,Kilimanjaro.

Oja ya jukumu l asasi hii ni kuwajengea uwezo wkazi wa vijijini hususani,WATOTO,VIJANA,AKINA MAMA NA WAKAZI WA VIJIJINI:

Tunalenga kuwajengea uwezo katika Nyanja za

  • Elimu (Tuna vyuo na shule za awali)
  • Tehama(Tuna kituo cha mafunzo ya TEHAMA-digital skill centre-Himo)
  • Afya (Dispensary ya Kyomu Kahe na kituo cha afya)
  • Ujariamali (Majengo vocational Projects—www.majengo.africa)
  • Ufundi stadi na (Chuo cha ufundi KIDT VTC)
  • Miradi ya kujiingizia kipato na kuji-ajiri (Majengo,Dar na HImo)
Tunafanya kazi na vijana,wahitimu wa vyuo na wanao penda kujitolea katika fani tofauti tofauti:

Kwa yeyote anayenda kujitolea,kujijengea uwezona pia kukutana na fursa za kuji-ajiri anweza kujiunga nasi kwa kujitolea

Tunapokea vijana na mtu yeyote anyependa kutumia taaluma yake,kipawa na ujuzi wake kufanya kazi na sisi:

Karibu ujiunge nasi leo(muda wa kujitolea ni kati ya miezi 3,6 na hata mwaka mmoja)

Wasiliana nasi leo-----mkurugenzi 0717157640 /+255272750531 E-mail info@tareo-tz.org
 
Habari Wana JF,

Kwa Jina Naitwa Steven Naishi Ilala Dar es salaaam namiaka 24 Pia ni Kijana mchapa Kazi mwaminifu kwa kila majukumu nayofanya, Katika swala langu la kielimu nimehitimu level zote ikiwemo O level, Advanced level na kwa sasa ni kijana naehitimu elimu yang yangu chuoni nikiwa nachukuwa Degree ya masuala ya Bima na udhibiti majanga/ Bachelor in insurance and risk management.

Naweza kufanya kazi yoyote ndani ya elim yang na pia nje ya elim niliyonayo. Nimefanya field sehem mbalimbali ikiwemo kampuni ya Kadio insurance Broker iliyopo Goba Dar es Salaam, na pia katika kitengo cha Containers iliyopo Bandarini Dar es salaam ( TICTS) TANZANIA INTERNATIONAL CONTAINER TERMINAL SERVICES) nauwezo wa kujifunza mamb mbali mbali na ubunifu pia napenda Jambo nalofanya na kujifunza zaidi.

Nipo tayali kwa maelekezo kwa mujib wa taharifa iliyojieleza

Asanteni Kwa Mawasiliano namba zangu ni 0629868082

Habari Wana JF,

Kwa Jina Naitwa Steven Naishi Ilala Dar es salaaam namiaka 24 Pia ni Kijana mchapa Kazi mwaminifu kwa kila majukumu nayofanya, Katika swala langu la kielimu nimehitimu level zote ikiwemo O level, Advanced level na kwa sasa ni kijana naehitimu elimu yang yangu chuoni nikiwa nachukuwa Degree ya masuala ya Bima na udhibiti majanga/ Bachelor in insurance and risk management.

Naweza kufanya kazi yoyote ndani ya elim yang na pia nje ya elim niliyonayo. Nimefanya field sehem mbalimbali ikiwemo kampuni ya Kadio insurance Broker iliyopo Goba Dar es Salaam, na pia katika kitengo cha Containers iliyopo Bandarini Dar es salaam ( TICTS) TANZANIA INTERNATIONAL CONTAINER TERMINAL SERVICES) nauwezo wa kujifunza mamb mbali mbali na ubunifu pia napenda Jambo nalofanya na kujifunza zaidi.

Nipo tayali kwa maelekezo kwa mujib wa taharifa iliyojieleza

Asanteni Kwa Mawasiliano namba zangu ni 0629868082
Check your inbox.

Wasiliana na huyo mtu, ana kampuni ya BIMA atakuchukua..

All the best
 
Back
Top Bottom