Niko uchi kwenye masuala ya laptop

Shukrani, nimeipenda
 
sory mkuu unaeza nsaidia chimbo la pc hzo gen8 ambazo ztarange laki kwenye hyo laki 5 -?
 
sory mkuu unaeza nsaidia chimbo la pc hzo gen8 ambazo ztarange laki kwenye hyo laki 5 -?
Kuna mdau hapa alikua anauza 600k


Pia Discountkubwa kkoo unapata kwa around laki 6.
 
Nimekuwa nikitafuta gamig laptop kwa muda mrefu sana lkn sijapata, naombeni wadau kwa anaejua anaeuza aniunganishe nae,chondechonde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…