Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Tukiwaambia mkope Tala,mnaletaga dharau na kujifanya mnawadhulumu..hao jamaa wanasaidia sana kwenye shida za ghafla kama hizi.Wakuu heshima kwenu
Shida haina mwenyewe,naomba kama kuna mdau ambaye anaweza kunikopesha hicho kiasi nilichokitaja hapo juu na kwa riba hiyo anisaidie nimalize shida yangu
Kuhusu kitu cha kuweka bondi naweza nisiwe nacho cha maana kwa sasa ila tutaongea zaidi jinsi tutakavyofanya.
Location-Dar es salaam