Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Tukiwaambia mkope Tala,mnaletaga dharau na kujifanya mnawadhulumu..hao jamaa wanasaidia sana kwenye shida za ghafla kama hizi.Wakuu heshima kwenu
Shida haina mwenyewe,naomba kama kuna mdau ambaye anaweza kunikopesha hicho kiasi nilichokitaja hapo juu na kwa riba hiyo anisaidie nimalize shida yangu
Kuhusu kitu cha kuweka bondi naweza nisiwe nacho cha maana kwa sasa ila tutaongea zaidi jinsi tutakavyofanya.
Location-Dar es salaam
Hivoo hagusii kabisa!...Ni masalantapa tu ndo anaweka kama collateral [emoji848][emoji848]Hakuna kinachouzika hapo
Kutapeliwa siku hizi ni kugusa!
Weka hata vyeti o.g vya shule
HaaahaaaMkuu hadi saivi hujapata kweli mpk na namba za simu hapo nmeona raia wema wamekupa au hamjaafikiana nao? na huyo alosema umfate PM kama hujapata vipi hujamuona? Au unataka kukusanya 140k kwa member wote humu mwsho utuache sorembaaaaa
Mi nilishaweka rehani vyeti vya shule kuanzia la 7 mpaka chuo kikuu ili nipate ajira, washeynz wale wanataka hati ya nyumba..Hivoo hagusii kabisa!...Ni masalantapa tu ndo anaweka kama collateral [emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ID mpya usije kutupiga mkuu!Wakuu bado shida ipo palepale..niokoeni
Hata kama ningekuja kwa ID ya zamani kama ni lengo langu ni kuwapiga watu bado lisingebadilika..Shida ID mpya usije kutupiga mkuu!
Nami nimeshangaaMbona umejiwekea riba kubwa sana,
tafuta wenzio kama wewe 39 muwe jumla 40 halafu nitawakopesha kwa terms hizi.Wakuu heshima kwenu
Shida haina mwenyewe,naomba kama kuna mdau ambaye anaweza kunikopesha hicho kiasi nilichokitaja hapo juu na kwa riba hiyo anisaidie nimalize shida yangu
Kuhusu kitu cha kuweka bondi naweza nisiwe nacho cha maana kwa sasa ila tutaongea zaidi jinsi tutakavyofanya.
Nitaacha simu tecno W1,pasi,nhif card,birth cert,leaving cert
Location-Dar es salaam