jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ben ten
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini sio sifa, amkaDuh enzi hizo. Ngoja wakishua waje watupe jina
SOma mada uweleweUmeshindwa kuwa specific. Hebu weka hata picha au elezea zaidi kwa kina tujue tunakusapoti vipi.
🤣🤣😳😳😳
Sasa atapataje picha hata aki gugo huku hakumbuki jina..
Umaskini sio sifa, amka
Sawa kibanda umizaPole maskini
Ai Yale majamaa wawili, mmoja ana nywele ndefu??Double Dragon
Kaka hiyo ya juzi juzi to, cartoon Network pale channel ten😀Sio bakugan kweli hiyo
Ushobokee kuifuta chemli alafu upasue yai... aiseee acha tu sitasahauDah Miaka bado tupo na taa ya chemli nayo chemli huifuta mama peke yake na baba , koroboi ya kumulikia na kusomea, jiko la stove , picha zenye nega, chandimu kipo 🔥, sh 50 vicholi 10, kunyoa ni mkasi nk.........Tv niionee wapi Mimi....? 🙌
Dah! We jamaa uminikumbusha mbaaaaali et ilikua inaitwa MOON SCOOP....Mwenye kujua katuni flani hivi ilikuwa ikioneshwa ITV wanaingia kwenye kitu kama Elevator hivi afu wanaenda kupigana na wadudu mbalimbali pamoja na monsters mbalimbali.
Nkumbushe jina ya hii Cartoon please.
SioDouble Dragon nafikiri
Sawa kibanda umiza
SioTHE BOLD AND THE BEAUTIFUL,
Ben ten ilikua TvT a.k.a TBCBen ten