msigazi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 467
- 349
Habari wakuu
Naomba kujuzwa nikwanini mgojwa wa malaria akitumia kikombe
Halafu akaja mtu ambaye haumwi akakitumia anapatwa na ugonjwa wa malaria?
Wakati wataalamu wa tiba hudai kuwa malaria huambukizwa na mbu jike Tena usiku wa manane!
Naomba kupata ufafanuzi wa suala hili
Natanguliza shukurani
Naomba kujuzwa nikwanini mgojwa wa malaria akitumia kikombe
Halafu akaja mtu ambaye haumwi akakitumia anapatwa na ugonjwa wa malaria?
Wakati wataalamu wa tiba hudai kuwa malaria huambukizwa na mbu jike Tena usiku wa manane!
Naomba kupata ufafanuzi wa suala hili
Natanguliza shukurani