Hivi mnaposema uhuru wa kila mtu kuwa na chama akipendacho na demokrasia huwa huelewi? Wasanii na wanamichezo nao ni raia kama wengine.Pale uwanja wa taifa palikuwa na vihoja vikubwa sana ! Utitiri wa wasanii wa tasnia zote wakiimba ccm ni mbele kwa mbele ! Wameenda kwa mapenzi ama ni nguvu ya bahasha? Iweje Kila msanii awe ccm? Ni wasanii wangapi wanaunga mkono
mbona kinyonge sanaNaamini ipo siku CCM ataondoka
Wasi wasi wa nini!Sasa yale matambo ya kukubalika kwa kuupiga mwingi yako wapi?
Mnatumia wasanii kwa kodi zetu ili waipiganie CCM kuwapeleka kutembea Korea na hakuna faida yeyote kwa nchi. Haikutosha mkampa mwanya Mwamposa aandae mkesha kwa support ya CCM huku viongozi wa serikali na chama wakitumia mwanya huo kupiga kampeni.
Kubwa kuliko, leo uvccm wakapewa uwanja wetu wa Mkapa kupiga mamiziki yao wakijua vijana wa nchi hii wengi ni tofauti na wa jirani na kuwalazimisha wasemaji wa club kubwa za mpira hapa nchi kuja kupigia debe CCM.
Pamoja na kitendo hicho kuwakera wanachama/washabiki wa club hizo hata na baadhi ya viongozi wa hizo club kuwa wasemaji wao wanataka kuwagawa washabiki wao, mmoja ya wasemaji hao amesikika akisema Sasa wangefanyaje wakati NI AMRI ILITOLEWA? AU MNATAKA TUTEKWE?
It means kumbe wangekataa kuna mabaya yangewafika sio?
Sasa kukubalika kama wasemavyo kuko wapi?
Tusishangae kuja kuona Polisi na wanajeshi wetu wakikimbizwa mchaka mchaka barabarani wakiimbishwa "chagua ccm, chagua mama"
Usiongee kama umekatwa kichwa! Unakumbuka yaliyo mpata Roma Mkatoliki? Nani aimbaye mapambio ya CCM umeona akiyapata?Hivi mnaposema uhuru wa kila mtu kuwa na chama akipendacho na demokrasia huwa huelewi? Wasanii na wanamichezo nao ni raia kama wengine.
Mbona hata kule chadema kuna wasaniii wengi tuu, mfano yule alie imba wimbo wa chadema chadema peoplez power, kwani kulikuwa na shida ganii?
Halafu kumbuka ni utawala huuu huu wa CCM ndio umechangia pakubwa kwenye tasinia zote hizi. Kwahiyo ishukuriwe CCM kukuza vipaji mbali mbali kwa vijana ambao walio wengi ni matajiri wakubwaaa. CCM ipongezwe saaana.
Huyo jamaa yako alitukanaUsiongee kama umekatwa kichwa! Unakumbuka yaliyo mpata Roma Mkatoliki? Nani aimbaye mapambio ya CCM umeona akiyapata?
Kuna Nay wa Mitego amepata kashkash mara ngapi kwa misimamo yake iliyo tofauti na ccm?
Kwa hiyo ni wazi kuwa msanii kama huna uwezo wa kuisimamia imani ya nafsi yako na ni muoga huwezi kuonyesha unacho amini nje ya CCM.
Ni mtu mjinga tu anaweza kutetea rushwa ya wazi hivi kwa maelezo marefu kama yako. Ni kwamba hatujui ukweli wa nini kinaendelea kwenye hayo maigizo?Hivi mnaposema uhuru wa kila mtu kuwa na chama akipendacho na demokrasia huwa huelewi? Wasanii na wanamichezo nao ni raia kama wengine.
Mbona hata kule chadema kuna wasaniii wengi tuu, mfano yule alie imba wimbo wa chadema chadema peoplez power, kwani kulikuwa na shida ganii?
Halafu kumbuka ni utawala huuu huu wa CCM ndio umechangia pakubwa kwenye tasinia zote hizi. Kwahiyo ishukuriwe CCM kukuza vipaji mbali mbali kwa vijana ambao walio wengi ni matajiri wakubwaaa. CCM ipongezwe saaana.
Ccm wametoa wapi pesa ya kukodisha wasanii? Si bure nchi inauzwa kirahisi kwa hizo hadaa. Watu wanakusanya watu ili wapige picha za kwenda kuchukulia hela kwa waarabu kwa hadaa kuwa wanakubalika.CCM ina wasanii wao TOT,hao wengine huwa wanakodishwa na wanalipwa ,hata wewe ni hela yako tu unaweza kuwaita wikiend moja nyumbani kwako wakutumbuize.