Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Bado wanatumia mbinu za kizamani sana kufanya propaganda. Kibaya zaidi wanatumia fedha za umma kufanya hadaa za kukubalika.Kubwa kabisa wamekusanya wanafunzi kitoka kwenye shule karibia zote za dar es salaam na pahala pengine na kuwajaza taifa mule ili waonekane wamejaza uwanja aisee