Pre GE2025 Nikweli kwamba nchi hii wasanii wote ni CCM? Ni kweli kwamba Simba Yanga na Azam ni CCM? Au wanaenda kwa sababu ya njaa ya mkate? Hii ni ajabu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kubwa kabisa wamekusanya wanafunzi kitoka kwenye shule karibia zote za dar es salaam na pahala pengine na kuwajaza taifa mule ili waonekane wamejaza uwanja aisee
Bado wanatumia mbinu za kizamani sana kufanya propaganda. Kibaya zaidi wanatumia fedha za umma kufanya hadaa za kukubalika.
 
Hata Chadema wana wasanii wao ila mbona cjawaona wakiandaa matamasha na kuwakaribisha hao wasanii?
 
Kuna mtu aliandika hapa JF kuwa CCM ni dola.

Huamini hilo?

CCM ni kubwa kuliko unavyofikiria. Hata Mbowe usishangae ukisikia na yeye ni CCM.
 
Hawa wapumbavu ni machawa pro max hawaelewi kitu chochote kabisa!
 
Bado wanatumia mbinu za kizamani sana kufanya propaganda. Kibaya zaidi wanatumia fedha za umma kufanya hadaa za kukubalika.
Raha ya fedha zitumike, unataka kupiga nazo picha?
 
Kenya wasanii walikuwa na waandamanaji! Tz tatizo njaa na hakuna shule kabisa!
Wasanii na watu maarufu wa Tanzania wanalazimishwa kuunga mkono ccm, wasipofanya hivyo wanashughulikiwa kisawasawa hasa kiuchumi. Au hata kunaniliwa.............


Plata O Plomo
 
Hao ni njaa tu ndugu yangu zinawasumbua, huwa wanatumika kaa ndomu tu. Hiki ndiyo kipindi chao cha kuvuna. Wasanii wengine hujikomba, waambulie ubunge, ukuu wa wilaya na nafasi za uongozi huko uvccm.

Kuhusu mashabiki, mimi ni Yanga ile kindakindaki, but sikikubali chama cha mambuzi, nina Imani pia mashabiki wengine hawakiungi mkono hiko chama, ni hao viongozi ili yao yawaendee.
 
Huo uhuru ndio iwe wasanii wote? Kivyovyote vile hapo lazima kuna kitu hakipo sawa
 
Ndiomaana wasafirisha wahamiaji haramu wanaweka bendera ya ccm kwenye magari yao, gari la mbunge wa ccm lakamatwa kwenye biashara kharam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…