Pre GE2025 Nikweli kwamba nchi hii wasanii wote ni CCM? Ni kweli kwamba Simba Yanga na Azam ni CCM? Au wanaenda kwa sababu ya njaa ya mkate? Hii ni ajabu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kubwa kabisa wamekusanya wanafunzi kitoka kwenye shule karibia zote za dar es salaam na pahala pengine na kuwajaza taifa mule ili waonekane wamejaza uwanja aisee
Mafulilo ya kutafuta kwa Kiiki.

Watu wamejaza Nursery na Pupils
 
Wewe unayeishi hiyo dunia ya kutengeneza mapropaganda ya kuichafua serikali, unafikiri utafanikiwaa chochote. Matukio mtengeneze nyinyi eti mkaichafue serikali. Hovyo kabisaaa. Mtachafuka nyinyi na kiki zenuu
Wewe hata ukilawitiwa na kigogo wa ccm huwezi kukiri au kushtaki maana una "mahaba" na chama chako. Hongera!
 
Wewe hata ukilawitiwa na kigogo wa ccm huwezi kukiri au kushtaki maana una "mahaba" na chama chako. Hongera!
Hizi zote ni mapropaganda yenu tuuu. Hakuna kigogo yoyote anayeweza kufanya hivyoo. Mnachofanya na lichama lenu eti nikuwatengenezea viongozi wa kiserikali mapripaganda eti muwachafue na kwenda kuwaambia wananchi eti viongozi wa hawafai. Tumeshawagundua hakuna propaganda yenu inayofanikiwa uone shetani anavyowaumbua. Hovyo kabisaa
 
Wasanii wengi Ni wasen.....hawajitambui
 
CCM ilikuwa na bendi zake JUWATA, Vijana Jazz, ToT nk

Yanga ni Timu ya CCM

CCM ina Viwanja vya michezo kila mkoa

CCM ina kumbi za Burudani kila Wilaya

Nk...nk...nk...🐼
JUWATA haikuwa bendi ya CCM. Ilikuwa chini ya Jumuiya ya Wafanyakazi Tanzania (JUWATA), yaani kwa sasa tungesema ni bendi ya TUCTA. Ila kwa sababu tulikuwa ktk mfumo wa Chama kimoja ndio maana inaleta hisia hiyo. Ndio maana ilibadilika sana majina, kutoka kuitwa NUTA, JUWATA na baadae kuitwa OTTU ambazo ni mabadiliko ya majina ya Jumuiya ya Wafanyakazi kulingana na wakati. Baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi Jumuiya ikajitoa na bendi ikaitwa MSONDO NGOMA.
 
Si kweli ila kwa sbb ya mfumo mbovu wa ccm,wa unyonyaji,watu wanaogopa kufilisiwa mali zao
 
Si kweli ila kwa sbb ya mfumo mbovu wa ccm,wa unyonyaji,watu wanaogopa kufilisiwa mali zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…