Nikweli Uchumi wa Dunia umeyumba ila kama Taifa lazima tuzijuwe alama za nyakati na kuchukua hatua!!!

Nikweli Uchumi wa Dunia umeyumba ila kama Taifa lazima tuzijuwe alama za nyakati na kuchukua hatua!!!

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nikweli Uchumi wa Dunia umetikiswa na kushuka kutokana na vita vya wenzetu huko ulaya. Lakini Mimi napata tabu kidogo kama mtu ninaye elewa uchumi kama Taifa tunakosea na tunakoelekea uwenda kama Taifa tukajikuta kwenye giza Nene la uchumi kutokana na makosa.

This is very simple formula gari iliyobeba mzigo mzito inapofika kwenye mlima na ikashindwa kupanda basi shurt kushusha mzigo nakuacha mzigo utakao weza panda nao au Tegemea kujuwa eng na mwisho safari isiendelee.

Kama Taifa tuna fanya makosa makubwa sana kudhania tunaweza kuendesha nchi kwa kutegemea wahisani na mikopo. Tuna fanya makosa makubwa kiuchumi kuajiri kwa presha ya kujaza nafasi pasipo fanya tathimini ya wapi Kuna uhitaji mkubwa wa watu na wapi hapahitaji watu.

Huwa najiuliza hivi Kuna mchumi anaye fanya tathimini ya uwajiri vs return kwenye huwo uwajiri? Najiuliza taasisi kama TRA au Tanesco hivi ukiangalia idadi ya wafanyakazi na uzalishaji vinaendana? Majibu mnayo wenyewe nilazima sasa kichunguza idara idadi ya wafanyakazi vs majuku yao kwa sababu kule tuendapo tusipo kuwa makini serikali itakosa pesa kulipa watu au mtapunguzana. Ikumbukwe zipo taasisi hazizalishi ni matumizi tu mfano ikulu idara za usalama tofauti na mataifa ya wenzetu taasisi nyeti kama ya usalama ana budget yakuzalisha.

Mahali tulipo fika nilazima tuambiane ukweli posho mnazolipana ni zaidi ya mishara mtake mistake mtalifilisi Taifa mcha kweupe na Mimi na shangaa kwanini hizi posho hazilipwi kwenye Lawson mkaona vile mnaifilisi hii nchi. Watu wanalipana posho za hatari na majibu mtayapata. Kama huko ndio kula kwa urefu wa kamba mambo yatakuwa magumu mbeleni.

Safari zisizo za lazima nilazima zipunguzwe viongozi wetu watumie tehama kupunguza safari zisizo za lazima mnafilisi Taifa.

Manunuzi ya magari ya kifahari kwa viongozi nalo ni tatizo embu jamani nunueni magari ya kawaida na yagharama na fuu tena nunueni kiwandani.
 
Ahhh Leo pasaka bana let's celebrate 🙏hayo yote yanafahamika so it's nothing new and there will never be any implimentation,mwendo wa kulamba asali 🤣🤣
 
Watu wenyewe unaowambia ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa, kenge hatasikia hadi damu imtoke masikioni, kuibadilisha hii nchi iende kwenye uelekeo sahihi unahitajika muujiza.
 
Tulime tu....tukiwa na chakula hivyo vingine vitakuja tu as long as umekula umeshiba na una afya
 
Nikweli Uchumi wa Dunia umetikiswa na kushuka kutokana na vita vya wenzetu huko ulaya. Lakini Mimi napata tabu kidogo kama mtu ninaye elewa uchumi kama Taifa tunakosea na tunakoelekea uwenda kama Taifa tukajikuta kwenye giza Nene la uchumi kutokana na makosa.

This is very simple formula gari iliyobeba mzigo mzito inapofika kwenye mlima na ikashindwa kupanda basi shurt kushusha mzigo nakuacha mzigo utakao weza panda nao au Tegemea kujuwa eng na mwisho safari isiendelee.

Kama Taifa tuna fanya makosa makubwa sana kudhania tunaweza kuendesha nchi kwa kutegemea wahisani na mikopo. Tuna fanya makosa makubwa kiuchumi kuajiri kwa presha ya kujaza nafasi pasipo fanya tathimini ya wapi Kuna uhitaji mkubwa wa watu na wapi hapahitaji watu.

Huwa najiuliza hivi Kuna mchumi anaye fanya tathimini ya uwajiri vs return kwenye huwo uwajiri? Najiuliza taasisi kama TRA au Tanesco hivi ukiangalia idadi ya wafanyakazi na uzalishaji vinaendana? Majibu mnayo wenyewe nilazima sasa kichunguza idara idadi ya wafanyakazi vs majuku yao kwa sababu kule tuendapo tusipo kuwa makini serikali itakosa pesa kulipa watu au mtapunguzana. Ikumbukwe zipo taasisi hazizalishi ni matumizi tu mfano ikulu idara za usalama tofauti na mataifa ya wenzetu taasisi nyeti kama ya usalama ana budget yakuzalisha.

Mahali tulipo fika nilazima tuambiane ukweli posho mnazolipana ni zaidi ya mishara mtake mistake mtalifilisi Taifa mcha kweupe na Mimi na shangaa kwanini hizi posho hazilipwi kwenye Lawson mkaona vile mnaifilisi hii nchi. Watu wanalipana posho za hatari na majibu mtayapata. Kama huko ndio kula kwa urefu wa kamba mambo yatakuwa magumu mbeleni.

Safari zisizo za lazima nilazima zipunguzwe viongozi wetu watumie tehama kupunguza safari zisizo za lazima mnafilisi Taifa.

Manunuzi ya magari ya kifahari kwa viongozi nalo ni tatizo embu jamani nunueni magari ya kawaida na yagharama na fuu tena nunueni kiwandani.
Wewe Huwa unapenda sana kuota.

Kwanza Serikali ya Tanzania Kwa sehemu kubwa Huwa inaajiri kufidia gap tuu na Wala sio Kwa minajiri ya Ajira Mpya ndio maana hakuna Wizara au taasisi hata Moja ambayo Ina utoshelevu wa walau 60% ya mahitaji ya Watumishi wake.

Mwisho nadhani hujasoma Falsafa ya uchumi ya Tanzania yaani ni ya kujihami sana kama Uingereza..

Unaposema Nchi inajiendesha Kwa mikopo ni wazi hujui unachoongea ,umeshindwa kutuonesha kwamba hiyo mikopo na Misaada ni Asilimia ya mapato ya Tanzania.

Mwisho Kuna la kujifunza ila hatuko kwenye hatari yeyote Kwa Sasa na Mipango ya serikali naona Iko vizuri ndio maana Katika ya mtafaruku wa uchumi Duniani Tanzania Iko imara Leo Hadi Kesho.

Namsifu sana Rais Samia Kwa kuchukua mkopo wa uviko 19,ulikuwa ni muhimu sana kuweka msawazo wa BoP na kuepuka shida walizonazo Kenya,Malawi,Zambia,Nigeria,Egypt,Ghana nk..

Pia hatua ya kurejesha Diplomasia hasa ya uchumi imeiokoa sana Tanzania vinginevyo tungesaga meno in case Jiwe angeendelea na sera zake za kijima.
 
Nikweli Uchumi wa Dunia umetikiswa na kushuka kutokana na vita vya wenzetu huko ulaya. Lakini Mimi napata tabu kidogo kama mtu ninaye elewa uchumi kama Taifa tunakosea na tunakoelekea uwenda kama Taifa tukajikuta kwenye giza Nene la uchumi kutokana na makosa.

This is very simple formula gari iliyobeba mzigo mzito inapofika kwenye mlima na ikashindwa kupanda basi shurt kushusha mzigo nakuacha mzigo utakao weza panda nao au Tegemea kujuwa eng na mwisho safari isiendelee.

Kama Taifa tuna fanya makosa makubwa sana kudhania tunaweza kuendesha nchi kwa kutegemea wahisani na mikopo. Tuna fanya makosa makubwa kiuchumi kuajiri kwa presha ya kujaza nafasi pasipo fanya tathimini ya wapi Kuna uhitaji mkubwa wa watu na wapi hapahitaji watu.

Huwa najiuliza hivi Kuna mchumi anaye fanya tathimini ya uwajiri vs return kwenye huwo uwajiri? Najiuliza taasisi kama TRA au Tanesco hivi ukiangalia idadi ya wafanyakazi na uzalishaji vinaendana? Majibu mnayo wenyewe nilazima sasa kichunguza idara idadi ya wafanyakazi vs majuku yao kwa sababu kule tuendapo tusipo kuwa makini serikali itakosa pesa kulipa watu au mtapunguzana. Ikumbukwe zipo taasisi hazizalishi ni matumizi tu mfano ikulu idara za usalama tofauti na mataifa ya wenzetu taasisi nyeti kama ya usalama ana budget yakuzalisha.

Mahali tulipo fika nilazima tuambiane ukweli posho mnazolipana ni zaidi ya mishara mtake mistake mtalifilisi Taifa mcha kweupe na Mimi na shangaa kwanini hizi posho hazilipwi kwenye Lawson mkaona vile mnaifilisi hii nchi. Watu wanalipana posho za hatari na majibu mtayapata. Kama huko ndio kula kwa urefu wa kamba mambo yatakuwa magumu mbeleni.

Safari zisizo za lazima nilazima zipunguzwe viongozi wetu watumie tehama kupunguza safari zisizo za lazima mnafilisi Taifa.

Manunuzi ya magari ya kifahari kwa viongozi nalo ni tatizo embu jamani nunueni magari ya kawaida na yagharama na fuu tena nunueni kiwandani.
Hakuna mtu ameelewa hili mpaka May Mosi pia hamjaelewa
 
Back
Top Bottom