Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama una vigezo vyote mkopo unasubir 2 upate chuo ukufate.,huwezi kuamin hao waliopata first round wamo watakaokosa mkopo pia hawa second round wapo wanaosubiriwa wapate chuo wapewe hela zako.,hapa ndo utakubali kale kamsemo "BAHATI YA MTU USIILALIE MLANGO WAZI"
Ni kweli wale ambao wana apply chuo mara ya pili asilimia 90 huwa wanakosa mkopo au ni tetesi za kkutiana tumbo joto???
nilifanya sec round mwaka jana pharmacy KIU mkopo nikapata na chuo sikwenda, mwaka huu tena nikafanya sec round nimepata nafasi SUA corz ni priority so nasubir kama itakuja miujiza..
Second round majina hayajatoka acha kuuongopea umma,
Second round majina hayajatoka acha kuuongopea umma,
nilifanya sec round mwaka jana pharmacy KIU mkopo nikapata na chuo sikwenda, mwaka huu tena nikafanya sec round nimepata nafasi SUA corz ni priority so nasubir kama itakuja miujiza..
Kaka ulipata asilimia ngapi kwa kampala
nilifanya sec round mwaka jana pharmacy KIU mkopo nikapata na chuo sikwenda, mwaka huu tena nikafanya sec round nimepata nafasi SUA corz ni priority so nasubir kama itakuja miujiza..
na kama umechagua course mkopo sio priority kuna uwezekanao wa kupata