amoneka athumani
Member
- May 4, 2017
- 42
- 10
Hh nimeipenda viazi+bamia+nyama hh ntaitengeneza kesho asubuhi .Kula kama mimi mkuu....View attachment 686586
mazoezi ya kuongeza mwiliInategemeana unafanya mazoezi ya aina gani. kwa sababu kuna mazoezi ya kuiimlaisha mwili ndani kwani ndani na kuna mazoezi ya kukufanya uwe na mwili mkubwa.
Whey gen protein kando ya china plaza zamani mobile plaza wanauza vifaa vya gym na iyo powder ipo apo 170,000/poda inapatikana wapi na bei ipoje
pole mkuu na hongera mm mwenyewe nimeanza nina mwez ss wasiliana na gym master wako atakupanga vizur ila ucjal ngoja wajeNimeanza gym, je nile vyakula aina gani ili mwili ujengeke kwa wepesi nimechoka kuwa kimbaumbau.
achana na wachimba chumvi wanaokushauri mambo ya unga unga unauwa hausaidii pia kuporomokaNimeanza gym, je nile vyakula aina gani ili mwili ujengeke kwa wepesi nimechoka kuwa kimbaumbau.
Duu bila protein hii ndio aina kubwa ya chakula inayoweka muscles even in formulation of concentrated feed for beef cattle is added there.*Lita 3 za Maji safi kila siku.
*carbohydrates (wali, ugali dona, viazi, mihogo )
*matunda (ndizi, nanasi, tikiti maji, chungwa, parachichi) japo aims mbili kwa siku.
*mboga za majani, kila siku.
Kila la heri mkuu, nafahamu kuwa unajua vyakula vyote vinavyohitajika ila umeuliza tu. USIPOANZA KUTEKELEZA UTAULIZA KILA SIKU