Nilham rasheed

jamani si basi mie kosa langu liwapi mbona mie sifatilii watu kiivyo??? sasa ishakuwa kero...loool kweli humu nimeamini yaani subhanallah!!!!!:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:
Asprin, Kimey

Hapa topic ni Avatar ya Nilham kwa kuwakumbusha tu 🙂

Unless of course iwe kazi ya mikono ni somo kuhusu matumizi ya photo shop kupendezesha Avatar na Sayansi Jamii ni somo kuhusu 'namna ya kujipigia debe'
 

Na mimi kumbe wamo kt?ika choices Godblessme!!!God😛ray2: God😛ray2: God!!:A S tongue:😛ray2:😛ray2:
 
Makwenzi kwa watoto, Ngumi kwa wakubwa:israel::israel::israel:
Kunywa bia .....maji yana bakteria!!

FUGA KITAMBI.......JENGA HISHIMA MTAANI..
UZA NYUMBA...HAMIA GESTI:twitch:
 
jamani si basi mie kosa langu liwapi mbona mie sifatilii watu kiivyo??? sasa ishakuwa kero...loool kweli humu nimeamini yaani subhanallah!!!!!:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:

Huna kosa. Nilikuwa nawakumbusha tu wasitoke nje ya mada inayojadiliwa kwenye thread maana kuna watu weshalalama kuwa topic zao huharibiwa kwa majadiliano binafsi.
Endelea ku-chill tu aight
 
mmmh haya ok i can understand...
Huna kosa. Nilikuwa nawakumbusha tu wasitoke nje ya mada inayojadiliwa kwenye thread maana kuna watu weshalalama kuwa topic zao huharibiwa kwa majadiliano binafsi.
Endelea ku-chill tu aight
 
Nyota ya Nilham naona inang'aaa kwelikweli...:israel:Kidogo Hashcool apigane na Shoshi....:argue:. Ameanza mwingine tena...!!!Kila heri Nilham!

Sio shoshi sema Sho.........................malizia na........................... ssi well itabidi nimpige marufuku Nilham asiingie tena JF maana nahisi Hashycool ameamua kupiga mashambulizi kupitia watu wake wa karibu.......
 
hhehehe whatever u want me to do i can eccept it 4my two hands.... i will always listean to u my dear..
Sio shoshi sema Sho.........................malizia na........................... ssi well itabidi nimpige marufuku Nilham asiingie tena JF maana nahisi Hashycool ameamua kupiga mashambulizi kupitia watu wake wa karibu.......
 
Na mimi kumbe wamo kt?ika choices Godblessme!!!God😛ray2: God😛ray2: God!!:A S tongue:😛ray2:😛ray2:

Kaka binadamu wote lazima kupendana lakini ule wa mume na mke sahau ana mwenywewe huyo wakulishana nae zabibu angalia usijeshushwa busha!
 

Hata mie NILHAM????????
 
wewe endelea ku enjoy tu,hakuna matata,mm naomba nije unifundishe kiislam,alhadulillah
alhamdulillah abuy illa kheyr nashkur.... inshallah iendelee kung'aa mpaka nikiiondoka jf..maana niko matatani tuu ,,,raha hakuna tena...
 
Nihisi Nilham ni yule dada wa tangazo la homeshopping centre. Ni mtamu sana yule dada aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…