Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba

Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Yeeeerrrrreeeeh!

Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba na sitasoma tena kitabu chochote hadi nife.

Siwezi kusoma vitu vilivyoandikwa na wanaume wengine. Huo ni udhaifu.

Yani dume zima unasoma vitu na mawazo yalioandikwa na wanaume wengine that is not right, fundamentally wrong and totally unacceptable.

Ukiwa mwanamme unatakiwa kuwa jasiri unajitegemea siyo kushikishwa akili na madume mengine.

Naam mimi ni mtu kati ya watu walioishi na watu na waliona watu.

Mtaalam wa kufundisha samaki kuogelea.

Nyau de adriz
 
Yeeeerrrrreeeeh!

Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba na sitasoma kitabu chochote hadi nife.

Siwezi kusoma vitu vilivyoandikwa na wanaume wengine. Huo ni udhaifu.

Yani dume zima unasoma vitu na mawazo yalioandikwa na wanaume wengine that is not right, fundamentally wrong and totally unacceptable.

Ukiwa mwanamme unatakiwa kuwa jasiri unajitegemea siyo kushikishwa akili na madume mengine.

Naam mimi ni mtu kati ya watu walioishi na watu na waliona watu.

Mtaalam wa kufundisha samaki kuogelea.

Nyau de adriz
Mimi binafsi nakili sijakuelewa kabisa......kwa sababu hata maneno haya unao andika yalisha andikwa na wanaumme wengine buni lugha na maneno yako ili uonekane mwanaume kamiri
 
Yeeeerrrrreeeeh!

Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba na sitasoma kitabu chochote hadi nife.

Siwezi kusoma vitu vilivyoandikwa na wanaume wengine. Huo ni udhaifu.

Yani dume zima unasoma vitu na mawazo yalioandikwa na wanaume wengine that is not right, fundamentally wrong and totally unacceptable.

Ukiwa mwanamme unatakiwa kuwa jasiri unajitegemea siyo kushikishwa akili na madume mengine.

Naam mimi ni mtu kati ya watu walioishi na watu na waliona watu.

Mtaalam wa kufundisha samaki kuogelea.

Nyau de adriz
Mvinyo wa ngapi huu umegongea?
 
Nakuona hapo wa kwanza kushoto umejiinamia kwa mawazo makali kuhusu vitabu.
Sasa nmeelewa unapata wapi tafakuri zako
Screenshot_20240118-185456_Quora.jpg
 
afadhari nimepata mtu wakutukana leo!..😂

hiyo simu unayotumia imebuniwa na wanaume, teknolojia, mtandao wa jf,umeme,nguo na vyengine vingi sasa wewe ni zwazwa kenge kabisa ng'ombe mwenye unyumbu!
 
Yeeeerrrrreeeeh!

Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba na sitasoma tena kitabu chochote hadi nife.

Siwezi kusoma vitu vilivyoandikwa na wanaume wengine. Huo ni udhaifu.

Yani dume zima unasoma vitu na mawazo yalioandikwa na wanaume wengine that is not right, fundamentally wrong and totally unacceptable.

Ukiwa mwanamme unatakiwa kuwa jasiri unajitegemea siyo kushikishwa akili na madume mengine.

Naam mimi ni mtu kati ya watu walioishi na watu na waliona watu.

Mtaalam wa kufundisha samaki kuogelea.

Nyau de adriz
Kusoma si vibaya bt vibaya ni kukifanya limitation ya ufaham wako ulichosoma.

Binafsi kupitia kusoma vitabu vya wengine, nimeunda vitabu vingi ambavyo huenda bila kusoma vitabu vile nisingeweza kuviunda.
 
Back
Top Bottom