Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba

Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba

Yeeeerrrrreeeeh!

Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba na sitasoma tena kitabu chochote hadi nife.

Siwezi kusoma vitu vilivyoandikwa na wanaume wengine. Huo ni udhaifu.

Yani dume zima unasoma vitu na mawazo yalioandikwa na wanaume wengine that is not right, fundamentally wrong and totally unacceptable.

Ukiwa mwanamme unatakiwa kuwa jasiri unajitegemea siyo kushikishwa akili na madume mengine.

Naam mimi ni mtu kati ya watu walioishi na watu na waliona watu.

Mtaalam wa kufundisha samaki kuogelea.

Nyau de adriz
Mbona upo JF tena ni Expert Member, huku hia unasoma mawazo ya nani
 
Yeeeerrrrreeeeh!

Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba na sitasoma tena kitabu chochote hadi nife.

Siwezi kusoma vitu vilivyoandikwa na wanaume wengine. Huo ni udhaifu.

Yani dume zima unasoma vitu na mawazo yalioandikwa na wanaume wengine that is not right, fundamentally wrong and totally unacceptable.

Ukiwa mwanamme unatakiwa kuwa jasiri unajitegemea siyo kushikishwa akili na madume mengine.

Naam mimi ni mtu kati ya watu walioishi na watu na waliona watu.

Mtaalam wa kufundisha samaki kuogelea.

Nyau de adriz
dume zima upo unatumia simu ilotengenezwa na wanaume wengne dume zima upo unatumia JF ilovumbuliwa na mwanaume mwingne au ww The Mongolian Savage ni jikeeeeee???( mtetea)😮‍💨😮‍💨😮‍💨😮‍💨🙄🙄🙄🤕🤕🤕
 
Mwenye ufahamu na nchi TOGO,kiusalama,gharama za maisha,perception ya wenyeji kwa wageni wafikao.nchini humo,malazi yaani guest,usalama wa wageni,usafiri ndani y nchi,msaada tafadhari
 
Yani mara hii tu ushabadilisha avatar picha kwenye Id yako?
FB_IMG_17257994906659232.jpg

Naona umeipenda picha ya Mtaalamu.
 
adriz huko wapi wewe nyau rafiki yako ananidhalilisha huku
Sina urafiki Barbarian kaa mbali wewe Kenge Marass , ninakuazoom tu na nitakavyo anza kukunyoosha hautonisahau ngoja nimalizie shughuli zangu Kilimo.

Selikavu anaelewa harakati zangu naitwa "The GunMan" nipo msituni najiona kuja kushoot wapuuzi wewe mmoja wapo usiwe na haraka pleas wait for the disastrous Consequences for your daily foolishly actions , soon you are going to taste it , Kenge Marass wewe..
IMG_20241010_122344.jpg
 
Sina urafiki Barbarian kaa mbali wewe Kenge Marass , ninakuazoom tu na nitakavyo anza kukunyoosha hautonisahau ngoja nimalizie shughuli zangu Kilimo.

Selikavu anaelewa harakati zangu naitwa "The GunMan" nipo msituni najiona kuja kushoot wapuuzi wewe mmoja wapo usiwe na haraka pleas wait for the disastrous Consequences for your daily foolishly actions , soon you are going to taste it , Kenge Marass wewe..
View attachment 3120710
Hahaha umbwaaa nyau wewe
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Sina urafiki Barbarian kaa mbali wewe Kenge Marass , ninakuazoom tu na nitakavyo anza kukunyoosha hautonisahau ngoja nimalizie shughuli zangu Kilimo.

Selikavu anaelewa harakati zangu naitwa "The GunMan" nipo msituni najiona kuja kushoot wapuuzi wewe mmoja wapo usiwe na haraka pleas wait for the disastrous Consequences for your daily foolishly actions , soon you are going to taste it , Kenge Marass wewe..
View attachment 3120710
😃😃😃mnamchokoza The GunMan atawalamba chuma😃😃😃
 
Yeeeerrrrreeeeh!

Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba na sitasoma tena kitabu chochote hadi nife.

Siwezi kusoma vitu vilivyoandikwa na wanaume wengine. Huo ni udhaifu.

Yani dume zima unasoma vitu na mawazo yalioandikwa na wanaume wengine that is not right, fundamentally wrong and totally unacceptable.

Ukiwa mwanamme unatakiwa kuwa jasiri unajitegemea siyo kushikishwa akili na madume mengine.

Naam mimi ni mtu kati ya watu walioishi na watu na waliona watu.

Mtaalam wa kufundisha samaki kuogelea.

Nyau de adriz
Majibu tunayoandika huku husomi? Huna utaalamu wowote, ulifundishwa aje na kujibu mitihani? Duniani tunategemeana, iwe moja kwa moja au la, na mambo mengine hayakwepekwi.
 
Sina urafiki Barbarian kaa mbali wewe Kenge Marass , ninakuazoom tu na nitakavyo anza kukunyoosha hautonisahau ngoja nimalizie shughuli zangu Kilimo.

Selikavu anaelewa harakati zangu naitwa "The GunMan" nipo msituni najiona kuja kushoot wapuuzi wewe mmoja wapo usiwe na haraka pleas wait for the disastrous Consequences for your daily foolishly actions , soon you are going to taste it , Kenge Marass wewe..
View attachment 3120710
Nyau de adriz maamaee
 
Back
Top Bottom