Niliacha kusoma vitabu nilipofikisha miaka saba

Mbona upo JF tena ni Expert Member, huku hia unasoma mawazo ya nani
 
dume zima upo unatumia simu ilotengenezwa na wanaume wengne dume zima upo unatumia JF ilovumbuliwa na mwanaume mwingne au ww The Mongolian Savage ni jikeeeeee???( mtetea)😮‍💨😮‍💨😮‍💨😮‍💨🙄🙄🙄🤕🤕🤕
 
Mwenye ufahamu na nchi TOGO,kiusalama,gharama za maisha,perception ya wenyeji kwa wageni wafikao.nchini humo,malazi yaani guest,usalama wa wageni,usafiri ndani y nchi,msaada tafadhari
 
adriz huko wapi wewe nyau rafiki yako ananidhalilisha huku
Sina urafiki Barbarian kaa mbali wewe Kenge Marass , ninakuazoom tu na nitakavyo anza kukunyoosha hautonisahau ngoja nimalizie shughuli zangu Kilimo.

Selikavu anaelewa harakati zangu naitwa "The GunMan" nipo msituni najiona kuja kushoot wapuuzi wewe mmoja wapo usiwe na haraka pleas wait for the disastrous Consequences for your daily foolishly actions , soon you are going to taste it , Kenge Marass wewe..
 
Hahaha umbwaaa nyau wewe
 
Reactions: EEX
😃😃😃mnamchokoza The GunMan atawalamba chuma😃😃😃
 
Majibu tunayoandika huku husomi? Huna utaalamu wowote, ulifundishwa aje na kujibu mitihani? Duniani tunategemeana, iwe moja kwa moja au la, na mambo mengine hayakwepekwi.
 
Nyau de adriz maamaee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…