Niliachana na ajira nikaingia kwenye kilimo, na kweli mambo yamejipa

Niliachana na ajira nikaingia kwenye kilimo, na kweli mambo yamejipa

Wewe jamaa umechanganyikiwa? Dec 14, 2023 ulikuwa mtumishi wa umma na Januari 5, 2024 unasema uliacha kazi ukalime. Hayo mazao kupanda hadi kuvuna ni wiki 2 tu? Kuna uzi wako mwingine unasema wewe uko Chicago Marekani. Bro relax. Kama unapitia changamoto yoyote mwombe sana Mungu akuvushe vinginevyo utaonekana kituko
Asee
 
Back
Top Bottom