Niliambiwa wanaume hawapo JF


Sasa mchumba ulitegemea nini wakati humu ndani 90% ya ID ni za uongo?

Ila usijali kuna BADOO kule nadhani hitajio la mtima wako laweza timizwa...
 
Ukijaribu mmoja au wawili sio kipimo...
Mbona kuna watu wengi tu na wengine wana tafuta wake na hata wapenzi..
 
Katoto kazuri humu wengi watakusumbua sana twende zetu fb tukayajenge.
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 ha ha ha......
Hahaha mkuu kumbe upo online !!!" samahani aisee... hahaha Watoto wamjini wanasema ukishayaona manyoya ................
 
".... ukiacha mlango wazi watu wanaingia tu"

Hahaha mkuu kumbe upo online !!!" samahani aisee... hahaha Watoto wamjini wanasema ukishayaona manyoya ................
 
We we wape tu usiwe mchoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…