Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
asanteMimi naamini hivi, wanaume sahihi na wanawake sahihi wapo sehem yoyote ile amini kama wapo wabaya lazima wazuri wawepo pia shida n tu ni jinsi ya kumpata
Sijategema,..hizi pole wanatoaga mashemasi church sasa wewe vipii[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah haikuhusu
Kabisa sio kuamini pekee hata ukijua ndio ukweli huo sio kisa mimi mwanamke mmoja kanizingua ndio ni jumuishe wanawake wote.Mimi naamini hivi, wanaume sahihi na wanawake sahihi wapo sehem yoyote ile amini kama wapo wabaya lazima wazuri wawepo pia shida n tu ni jinsi ya kumpata
jieke hapopole sana dada Mwenyez Mungu atimize haja ya moyo wako inshaalah!!!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingia www. badoo.Com ujaribu bahati yako.
Amna cha kichwa kichwa...kuweni makini na waweka matangazo kwa ibada za kusaka HURUMA.Umekuja kichwa kichwa umetusuliwa saizi unalalamika mamaeeeee. JF kama mjini tu, ni shule tosha.
Nikimuwaza mhusika nasema 'hiiiiiiiiiii' kwa sauti ya jiwe
Mkuu unataka kukabaiolojia katoto kazuri japo kapo kwenye maumivu?Ulichokiandika kwa Sisi ' Wabobezi ' wakubwa wa Saikolojia tumegundua kuwa una ' Nyege ' kwa sasa na unahitaji Mwanaume wa ' Kukutindua ' japo ' Kiduchu ' tu ili ukae sawa na ndiyo maana nikakuuliza mara yako ya mwisho kuuchezea Mkuyenge ( Kusuguliwa ) ilikuwa lini?
Hahaha!! kivp mkuu.jieke hapo
Si ndo hapo shogaangu maisha yenyewe mafupi haya na tunaishi Mara moja,..em ongeza ya saba bili yangu..kuna vitu bhana kama Mungu ana mkono wake vitakuwa tuu,kama vya kufosi havifiki hata lukwili...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nimemuonea huruma sasa sijui alikuwa anataka ndoa masikini yaani sijamuelewa unaona haeleweki bwaga achana naye ya nn mmekutana ukubwani muanze kupeana stress
Kumbe inawezekana ni gear ya kutuibia chief?Amna cha kichwa kichwa...kuweni makini na waweka matangazo kwa ibada za kusaka HURUMA.
Hamna kitu hapo.
Karibu tena na tenaasante
Asitukute zimejipanga kwa head[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wa kutuvunja naniii ananzaje hajitaki