Niliambiwa wanaume hawapo JF

Bila mwanaume huwezi kuishi??!....hebu kitulize kidude chako huko!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nimemuonea huruma sasa sijui alikuwa anataka ndoa masikini yaani sijamuelewa unaona haeleweki bwaga achana naye ya nn mmekutana ukubwani muanze kupeana stress
Hahaaaa watu muwe fair bhana hahaa..katoto kazuri kakutana na katoto kabaya
 
ebu njoo mtoto mlito watu wanacheza na moyo wako mm nilizaliwa kwa ajili yako
 
huyo jamaa fala anapiga mzigo chini bila kutoa pension
 
ebu njoo mtoto mlito watu wanacheza na moyo wako mm nilizaliwa kwa ajili yako
Uongooo mimi sijatendwa humu eleweni humu kuna watu waliooa tu wenye stress wenyw shida zote humu watu wamejichokea sio utani
 
Humu no one can make me feel like a woman no one wote zeroooo big time
[emoji23][emoji23][emoji23] hii ni dalili ya genye baridi..

Au pengine unatangaza biashara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…