Niliambiwa wanaume hawapo JF

Niliambiwa wanaume hawapo JF

Kababy, hebu relax

Ndoa kama umepangiwa utaolewa mama, watu wanakutana facebook wnaaoana nini jf?? Umekutana na huyo kakutenda mbona unajisahau? Kua samaki mmoja akioza ndoo wote?? Jf ni sinia pakua unachoweza sio kila mahusiano yataishia ndoa shukuru umegundua mapema kunywa maji, pumua, ishi maisha yako
Haya hata mimi niliamini hivyo kumbe zero
 
Uvumilivu unahitajika sana unapoamua kufanya maamuzi mengine mtu unajifunza kutokana na makosa
Kabisa, na s kukurupuka wala kua na haraka mana mwisho wa siku utaja ingia mahali ujute kumbe ulikua na nafasi ya kuvumilia
 
Mimi sijaliwa humu wala sijaumuzwa nimeona tu huku hakuna dili kila anayekuja hanipendezi yanini nikae kimya kila.mtu anakuja na vijistress wengine wamejichokea wengine ngono tu wengine hawajui wanachokitaka yaani sasa kwanini uhangaike ningeliwa nisingeongea ninaibu
Sasa katoto kazuri shida yako ni nn hasa mbona unayumba kama jani la mgomba?
 
Back
Top Bottom