Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

Mkuu vipi bado gari ipo? Vipi changamoto zake maana naona mtaani bei zake ziko chini sana!
 
Ni kwel angekuja kutupa mrejesho maana dah hizi chuma kiukwl zimeuteka moyo wangu na mtaan zinauwa bei chee sana
 
Ni kwel angekuja kutupa mrejesho maana dah hizi chuma kiukwl zimeuteka moyo wangu na mtaan zinauwa bei chee sana
Gari bado ipo na nakula mitaa

service inakula kwa wakati sahihi, sijawahi kutana na tatizo lolote, kama nitanunua gari basi ni Dualisi tena

Naelekea befoward again, maana nilikaa masaa 4 na dada mmoja pale befoward kuchagua gari tu
 
Dar to Singida ni kilometa ngapi za odometer? (sio google map)
 
Upadates:

Dar es Salaam to Dodoma_( Masaa 5 net) mafuta yaliyotumika 3/4 tank

Huu ni muda ambao nishautumia pasipokuwa na ligi na mtu yeyote, isipokuwa baada ya kuuanza mkoa wa Dodoma kuna Cruser kilimo kwanza STL
na Range Rover Sport niliamua kwenda nazo sambamba na nikaziacha zikae mbele kama chambo...

Saa 11 alfajiri chuma inaondoka Dar, saa 3 kasoro asubuhi chuma inanusa Dodoma, brak time Puma Msamvu kuongezea wese...

Gari: Toyota Vanguard
 
Heshima kwenu wakuu.

Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)

Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.

Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu

Ila hadi tunaingia Morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.

Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)

Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,

Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa

Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.

Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.

Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.

Upadates:

Dar es Salaam to Dodoma_( Masaa 5 net) mafuta yaliyotumika 3/4 tank
Hopefully ulibeba na Fire Extinguisher kabisa...
 
Hujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea
Nadhani uoga nao ni factor ya kupitwa na kuwapita wenzako kwenye ligi. Uoga wa ajali na uoga wa fines barabarani.
 
Nadhani uoga nao ni factor ya kupitwa na kuwapita wenzako kwenye ligi. Uoga wa ajali na uoga wa fines barabarani.
Unachokisema ni kweli ila kwa mazingira yangu nilikuwa naikandamiza mashine kwa uwezo wake wote wa mwisho iliyokuja nao kutoka Japan. Na kwa njia iliyonyooka kisahani kinasoma 180km ila naikopea mpaka 180+kph(181-190)kph, gari ilikuwa mark 2 GX110 kwa kipindi hiko.
 
Unachokisema ni kweli ila kwa mazingira yangu nilikuwa naikandamiza mashine kwa uwezo wake wote wa mwisho iliyokuja nao kutoka Japan. Na kwa njia iliyonyooka kisahani kinasoma 180km ila naikopea mpaka 180+kph(181-190)kph, gari ilikuwa mark 2 GX110 kwa kipindi hiko.
Duh watu mna hatari 180?
 
Back
Top Bottom