Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari bado ipo na nakula mitaaNi kwel angekuja kutupa mrejesho maana dah hizi chuma kiukwl zimeuteka moyo wangu na mtaan zinauwa bei chee sana
ni wapi huko Lita moja ya mafuta inauzwa 2181.818 tuhamie hukoFull tank tsh 120,000 lita55
Nahisi alikua anaitest chumbaniKabla ya barabarani ,ulikuwa unaitest wapi mkuu.
Bei ya 2020 hiyoni wapi huko Lita moja ya mafuta inauzwa 2181.818 tuhamie huko
[emoji1][emoji1]Nahisi alikua anaitest chumbani
Upadates:
Dar es Salaam to Dodoma_( Masaa 5 net) mafuta yaliyotumika 3/4 tank
Hopefully ulibeba na Fire Extinguisher kabisa...Heshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru. Crown alikuwa ni mjeshi yeye anapita tuu
Ila hadi tunaingia Morogoro crown na subaru tumeziacha nyuma sana.
Kufika Moro, vanguard na mimi na Nissan patrol (DFP)
Vanguard mziki ulimshinda akakaa nyuma nahisi aliogopa trafiki,
Nilifika Mbande ilibidi nikachungulie dereva wa Nisan Patrol ni nani, yule mzee anaendesha gari kama pikipiki anaovertake sehemu hatari balaa
Alikuwa anakimbia aseee, huyu ndio alinipa challenge kwakuwa alikuwa haniachi 500m.
Nissan Dualis ni mnyama sana, hata nikisema nipate gari, narudi kwa Dualisi tena.
Hongereni sana trafiki mnafanya kazi ipasavyo.
Upadates:
Dar es Salaam to Dodoma_( Masaa 5 net) mafuta yaliyotumika 3/4 tank
Nadhani uoga nao ni factor ya kupitwa na kuwapita wenzako kwenye ligi. Uoga wa ajali na uoga wa fines barabarani.Hujakutana na VX V8 mkuu? Hawa jamaa wanatembea aise. Unaichapa mashine 190kph halafu bado wanakuchapa kama umesimama sina ham nao. Unakaza pedal mpaka tako lakini ndio kwanza inazidi kupotea
Ilikua 2020 soma thread nzimani wapi huko Lita moja ya mafuta inauzwa 2181.818 tuhamie huko
Unachokisema ni kweli ila kwa mazingira yangu nilikuwa naikandamiza mashine kwa uwezo wake wote wa mwisho iliyokuja nao kutoka Japan. Na kwa njia iliyonyooka kisahani kinasoma 180km ila naikopea mpaka 180+kph(181-190)kph, gari ilikuwa mark 2 GX110 kwa kipindi hiko.Nadhani uoga nao ni factor ya kupitwa na kuwapita wenzako kwenye ligi. Uoga wa ajali na uoga wa fines barabarani.
Duh watu mna hatari 180?Unachokisema ni kweli ila kwa mazingira yangu nilikuwa naikandamiza mashine kwa uwezo wake wote wa mwisho iliyokuja nao kutoka Japan. Na kwa njia iliyonyooka kisahani kinasoma 180km ila naikopea mpaka 180+kph(181-190)kph, gari ilikuwa mark 2 GX110 kwa kipindi hiko.