Niliandika Mwaka 2022 kuhusu vigogo Kutumia Bendera ya CCM Kusafirisha Wahamiaji

Usikute na wewe ni mhamiaji haramu
 
Imagine mbowe akaruhusu denocrasia pale chadema Dude kama hili likashikilia uenyekiti... hali ya mambo itakuweje??
Tunamshukuru Mbowe kwa kutulindia CCM yetu tunampenda mbowe viva mboweeee adumu mboweeee
 
Imagine mbowe akaruhusu denocrasia pale chadema Dude kama hili likashikilia uenyekiti... hali ya mambo itakuweje??
Tunamshukuru Mbowe kwa kutulindia CCM yetu tunampenda mbowe viva mboweeee adumu mboweeee
Hivi wewe kwenye maisha yako unapigania nini ?
 
Hivi wewe kwenye maisha yako unapigania nini ?
Hahahahahah infact napigania Democrasia ya kweli. Najua kwanini umeuliza swali hili ila mimi siwez hata siku moja kuwa upande wa CCM humu ama CDM isipo kuwa watu makini kama mdude, china wa china, luhaga mpina, deo filikunjombe RIP
Ndio miamba yangu
 
HIVI HII TAMAA YA MTU MMOJAMMOJA KWANINI USUNGESEMA TU JAMAA MMOJA AKAMATWA NA WAHAMIAJI AKIWANA GARI LA CCM KULIKO KUICHAFUA CCM YOTE KANA KWAMBA WOTE WANAFANYA HIYO KAZI NI SAWA TU NA PALE CHADEMA UKISEMA KUWA BWANA MBOWE ANAKULA RUZUKU YA CHAMA NA NI MBINAFSI KULIKO KUSEMA VIONGOZI WA CHADEMA WOTE WANAKULA RUZUKU HEBU JARIBU KUFICHA KIDOGO UJINGA WAKO MDUDE
 
Hahahahahah infact napigania Democrasia ya kweli. Najua kwanini umeuliza swali hili ila mimi siwez hata siku moja kuwa upande wa CCM humu ama CDM isipo kuwa watu makini kama mdude, china wa china, luhaga mpina, deo filikunjombe RIP
Ndio miamba yangu
AISEE UIKUWA UNAENDA VIZURI ULIPOKOSEA NI KWA MDUDE HILO NI JEMBE AU NI KAKISU TU TENA KISU BUTU HANA LOLOTE NDIYO MAANA HAWAMPI HATA NAFASI YA UONGOZI CHADEMA
 
unatetea nn sasa kama na ww sio walewale. anaweza asiwe mwanachama lkn anatumia njia iayotumika na wengi kufanikiwa ktk utapeli wao.
 
Kwani hao wanakuja nchini kutafuta MAISHA Au wanapita kwenda nchi zingine? Hivi watanzania wakikamatwa malawi wanaenda msumbiji sisi tutawaelewa vipi malawi?
Hizi zote ni sera kandamizi nachojua maisha popote hii mipaka WAZUNGU tu wametuchezea akili KWENYE scramble and partition of africa.

Africa ni moja tu tusibaguane sana na kupeana majina ya kijinga eti wahamiaji haramu

Wahamiaji halal ni wapi
 
AISEE UIKUWA UNAENDA VIZURI ULIPOKOSEA NI KWA MDUDE HILO NI JEMBE AU NI KAKISU TU TENA KISU BUTU HANA LOLOTE NDIYO MAANA HAWAMPI HATA NAFASI YA UONGOZI CHADEMA
Mkuu nipo mbeya kuna mambo nineyasikia kuhusu mdude nikaamua nimkubaki. Infact nilikuwa namuona ndezi tuu ila huyu jamaa anakitu cha tofauti kidogo. Usimchukulie kirahisi
 
Ukweli lazima usemwe,CCM ni chaka la uovu wote unaofanyika katika nchi hii.
 
Dhambi kubwa sana
 
We ni Lumumba tu.....msafara wa Makonda kule Katavi ulikutana na Kasia hii hii pia ya kusafirisha wahamiaji unaofanywa na vigogo wa ccm


Labda kama na wewe ni mnufaika
 
Hilo linajulikana,

Hata gaidi hamza, alikuwa kada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…